Siwapendi mods.

Jamani mi ningekuwa karibu yako ningekuchumu, aise hus umempatia. Amefikaje humu kama hawapendi wanaomuongoza? Unapendaje kusafiri wkt humpendi dereva? Nwy, option ya ziada aanzishe forum yake ili yeye awe mod na awe mchangiaji.
poor boy!
Unatafuta gia ya kumwingia Hus kwa kupitia mgongo wangu eh? Wasafiria nyota ya wenzio sio? Ng'arisha ya kwako babu we...
 
kawaida yao hawa. Shobo mbaya sana, hasa kwa mama mtu mzima kama huyu...
Ningekuwa Makamu wa Rais humu JF ningesema 'Unanchekesha'!

Hahahahaha. . . Ukiwa huna hoja tulia. Huo umama utuuzima wa kunibambikia jivishe wewe labda utakuja na busara walau kijiko kimoja.
 
unapoteza muda wako tu kufikiri hivyo
maana hawatikisiki.. uwapende usiwapende yote sawa..
 
Huyu lazima atakua ni under 18, anataka attention toka kwa Paw, Roulette au Cookie...

kuwa under 18 si kosa, kama ndivyo nilivyo hewala.
Wewe ni mgeni humu JF, hujanifahamu vema bado.
Huyo Cookie na Paw hata siwajui, labda RR ndo ninaemfahamu. Sasa hayo ya kutaka attention yanakujaje...
NB: Ingekuwa poa kama ungefuatilia mjadala wote kabla hujatoa maoni yako.
Sawa mpenzi?
 
kuwa under 18 si kosa, kama ndivyo nilivyo hewala.
Wewe ni mgeni humu JF, hujanifahamu vema bado.
Huyo Cookie na Paw hata siwajui, labda RR ndo ninaemfahamu. Sasa hayo ya kutaka attention yanakujaje...
NB: Ingekuwa poa kama ungefuatilia mjadala wote kabla hujatoa maoni yako.
Sawa mpenzi?
Hormones zinakusumbua. mpenzi wako nani?
 
Hii sinema ni sawa na eliza wa tegeta na Bishanga

kuwa under 18 si kosa, kama ndivyo nilivyo hewala.
Wewe ni mgeni humu JF, hujanifahamu vema bado.
Huyo Cookie na Paw hata siwajui, labda RR ndo ninaemfahamu. Sasa hayo ya kutaka attention yanakujaje...
NB: Ingekuwa poa kama ungefuatilia mjadala wote kabla hujatoa maoni yako.
Sawa mpenzi?
 
mbona maswali likuki soon after salamu?
Mie siulizi cha husny wala smile

nakukula kwa muda wangu, we hao unaowauliza wa nini?

Tuendelee tu from here, start point your eyez
nipeleke kigamboni basi nikapige mbizi

Nilikumiss sana kwa hiz siku chache ma dia...mambo yanaendaje? TF mzima? TB naye umeshamweka sawa?
 
Back
Top Bottom