meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
mi nilidhani hili tatizo liko bungeni tu!viti maalum...
mi nilidhani hili tatizo liko bungeni tu!viti maalum...
poor boy!Jamani mi ningekuwa karibu yako ningekuchumu, aise hus umempatia. Amefikaje humu kama hawapendi wanaomuongoza? Unapendaje kusafiri wkt humpendi dereva? Nwy, option ya ziada aanzishe forum yake ili yeye awe mod na awe mchangiaji.
kawaida yao hawa. Shobo mbaya sana, hasa kwa mama mtu mzima kama huyu...
Ningekuwa Makamu wa Rais humu JF ningesema 'Unanchekesha'!
Hahaaa.....you guys make me flattered.
Keep it up, Im entertained.
Huyu lazima atakua ni under 18, anataka attention toka kwa Paw, Roulette au Cookie...
Hormones zinakusumbua. mpenzi wako nani?kuwa under 18 si kosa, kama ndivyo nilivyo hewala.
Wewe ni mgeni humu JF, hujanifahamu vema bado.
Huyo Cookie na Paw hata siwajui, labda RR ndo ninaemfahamu. Sasa hayo ya kutaka attention yanakujaje...
NB: Ingekuwa poa kama ungefuatilia mjadala wote kabla hujatoa maoni yako.
Sawa mpenzi?
kuwa under 18 si kosa, kama ndivyo nilivyo hewala.
Wewe ni mgeni humu JF, hujanifahamu vema bado.
Huyo Cookie na Paw hata siwajui, labda RR ndo ninaemfahamu. Sasa hayo ya kutaka attention yanakujaje...
NB: Ingekuwa poa kama ungefuatilia mjadala wote kabla hujatoa maoni yako.
Sawa mpenzi?
Mwali vp? Mbona waenda mbali tena?Hormones zinakusumbua. mpenzi wako nani?
Nilikumiss sana kwa hiz siku chache ma dia...mambo yanaendaje? TF mzima? TB naye umeshamweka sawa?Hii sinema ni sawa na eliza wa tegeta na Bishanga
Nilikumiss sana kwa hiz siku chache ma dia...mambo yanaendaje? TF mzima? TB naye umeshamweka sawa?
BANNED..............nishasema sitaki ban nyingine!
umechakachua mkuu figga!
Mia.
Mwali vp? Mbona waenda mbali tena?