Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
- Thread starter
- #41
Da tupo tofauti,mie nawakubali sana mods wapo makini sana,nauhakika serikali ikiwa na wafanyakazi kama walivyo ma-mods basi tz ingekua zaidi ya marekani
kwani serikali ina tofauti na hawa?
Mkono mrefu wa serikali uko kwa vibaka wa mitaani na wanaouza gongo ili wajikimu, na mods vivyo hivyo, rungu lao la ban huwa na nguvu sana kwa akina sie!