ulivyowaambia huwapendi wao wakasemaje vile......!!!!sababu ninazo, ila sitazisema kwa sasa. Kifupi siwapendi hawa jamaa kwa ujumla wao!naomba hisia zangu ziheshimiwe...
ivo eh?
Ngoja nifunike kombe mwanaharamu apite...
Ila hata... Trafiki hawezi kuzuia msafara wa rais eh?
Ni kweli na Rais wetu humu ni MMMJ......hajawahi kula ban hata siku moja na ana post kama 30,000 hivi
nahisi kuna makamu wake, anaitwa FF, kuna siku trafiki mmoja alizuia msafara wake, bosi wake alimfokea sana. Na msafara ukaamriwa uendelee na safari...
hebu nenda jukwaa la malalamiko, kuna uzi unanihusu.
Cheki nao afu nitaku-PM nikuambie.
Au sio?