Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
topic closednimepita nimeona andare=mphamvu
topic closednimepita nimeona andare=mphamvu
Kwenye wengi inabidi ukubali na mambo ya wengi,vumilia kaka na usiwe mwepesi kumind...km mambo yakikwama basi unapotezeahebu nenda jukwaa la malalamiko, kuna uzi unanihusu.
Cheki nao afu nitaku-PM nikuambie.
Au sio?
Andare, una habari Mods ni wana wa adam kama sie! wanaweza kuwa na mapungufu yao, nadhani ungeweka wazi sababu ya wewe kutowapenda ili tujue jinsi ya kusaidia muishi kwa mapendo. Kama wamekosea basi sote tuwaambie jamani mfanyavyo sio. Na kama umevunja utaratibu tukukumbushe, nina wasiwasi unaweza ukaweka hiyo sababu yako hapa hadharani halafu na wengine tukakuchukia na wewe!
Apige avunjike kongosho!Piga mbizi sakafuni
sitaki ban nyingine ndugu.
Nakuheshimu, naomba uniheshimu pia...
Narudia tena haujalazimishwa kuwepo hapa.Kama huwapendi nenda sehemu ambayo hawapo.
1.Kunywa sumu.
2Kadumbukie baharini.
3. Ondoka jf.
4. Wakubali vile walivyo.
5.nenda www.figganiggaforums.com.
Nimekupa choices.
We vipi, kwanini unamlazimisha mwenzako awapende watu ambao hataki kuwapenda?
Umelewa?
Wapi nilipomlazimisha chochote?
Si unamwambia ahamie kwingine. Kwani umeambiwa watu wamekuja JF ili wawapende mods?
Na tafsiri yako hapo ni "wapende mods" ???
Kama hawapendi aende ambapo hawapo au atulie, sio analeta malalaniko yasio na maana.
Labda uelewa wako wa akili ni mdogo sana. Hivi mtu akimchukia JK basi anapaswa ahamie nchi ambapo JK siyo Rais? Basi wangehama wengi sana kwenye hii nchi.