Siwapendi mods.

hebu nenda jukwaa la malalamiko, kuna uzi unanihusu.
Cheki nao afu nitaku-PM nikuambie.
Au sio?
Kwenye wengi inabidi ukubali na mambo ya wengi,vumilia kaka na usiwe mwepesi kumind...km mambo yakikwama basi unapotezea
 
Andare, una habari Mods ni wana wa adam kama sie! wanaweza kuwa na mapungufu yao, nadhani ungeweka wazi sababu ya wewe kutowapenda ili tujue jinsi ya kusaidia muishi kwa mapendo. Kama wamekosea basi sote tuwaambie jamani mfanyavyo sio. Na kama umevunja utaratibu tukukumbushe, nina wasiwasi unaweza ukaweka hiyo sababu yako hapa hadharani halafu na wengine tukakuchukia na wewe!

mods wana dabostandads, afu wana roho mbaya sana v/s non premium members.
Ni ukweli ulio dhahiri, nasema kwa kwa kinywa kipana!
 
Kwenye wengi inabidi ukubali na mambo ya wengi,vumilia kaka na usiwe mwepesi kumind...km mambo yakikwama basi unapotezea

navumilia kaka,
ila angalau niache niseme, machungu yatapungua kidogo.
 
Da tupo tofauti,mie nawakubali sana mods wapo makini sana,nauhakika serikali ikiwa na wafanyakazi kama walivyo ma-mods basi tz ingekua zaidi ya marekani
 
Na tafsiri yako hapo ni "wapende mods" ???
Kama hawapendi aende ambapo hawapo au atulie, sio analeta malalaniko yasio na maana.

Labda uelewa wako wa akili ni mdogo sana. Hivi mtu akimchukia JK basi anapaswa ahamie nchi ambapo JK siyo Rais? Basi wangehama wengi sana kwenye hii nchi.
 
Labda uelewa wako wa akili ni mdogo sana. Hivi mtu akimchukia JK basi anapaswa ahamie nchi ambapo JK siyo Rais? Basi wangehama wengi sana kwenye hii nchi.

achana nae huyo,
namjua tangu udogo wake, ana kifafa ambacho hakiponi, mpaka India wameshindwa. Nahisi hapa anatafuta wa kumfia...
 
Back
Top Bottom