Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
watakupiga madongo jiandae na watu wanaotaka uwaridhishe wao tu humu mjengoni.Nalog offNalog in
watakupiga madongo jiandae na watu wanaotaka uwaridhishe wao tu humu mjengoni.Nalog offNalog in
ukiona manyoya kashaliwa huyo.wenye wivu wajinyonge.Nalog offkuna watu wanatafuta umaarufu tu ila hata mimi sioni umuhimu wa hitisho kuwa nalog off au mia, labda wenyewe watueleze zaidi maana naona haya maneno kama yana umuhimu basi wayapeleke ktk signature zao.
fanya hivyo mkuu.Nalog offMimi na sign OUT
inapendeza.Nalog offmbaya zaidi anarudia rudia inaboaaaaa...........nalog off
we mwanaume mzima unasikia kichefuchefu washaku Cameron nini? Nalog offKweli kabisa hata mimi kina nichefua.
we endelea kuipenda hujakatazwa. hii style sijamuiga mtu,nilienda kwa mganga ndio kaniambia niwe naandika hivi.mwenye wivu ajinyonge.Nalog offkuna mwingine alikuja na 'yo' (pfuuu boring)
mi naikubalia sana 'mia' imeshika kasi humu nadhani ndo maana na wengine wanakuja kimtindo (yale yale mwenzio akiuza chipsi vumbi ukaona anafanikiw na wewe kwa nini usifungue kibanda pembeni yake uuze bana hizo viepe vumbi?)
ah! Ndeko nangai papa mopao,vipi kwema? wagema ulimbo unawaona wanavyochonga ngenga? Nalog offNapress Enter....Papa Mopao
na mimi sijasema nimekatazwa.....naendelea tu kuipendawe endelea kuipenda hujakatazwa. hii style sijamuiga mtu,nilienda kwa mganga ndio kaniambia niwe naandika hivi.mwenye wivu ajinyonge.Nalog off
mimi siko hapa kukufurahisha wewe,naandika kile ninachokipenda,uneridhwa ama hukuridhishwa kimpango wako,nitaendelea kuandika hivyo bila chenga.Hilo lote donge hilo,wanaona donge hao,hao hao wachekeni,hao hao wazomeeni.Nalog off
ubarikiwe.Nalog offna mimi sijasema nimekatazwa.....naendelea tu kuipenda
mshipa wa wivu mi sijazaliwa nao.
yani na avatar yako then umesema mwenye wivu ajinyonge kama nakuona vile .........na log offwe endelea kuipenda hujakatazwa. hii style sijamuiga mtu,nilienda kwa mganga ndio kaniambia niwe naandika hivi.mwenye wivu ajinyonge.Nalog off
inaboa lakini TAMU!! nalog offmbaya zaidi anarudia rudia inaboaaaaa...........nalog off
Nashukuru kwa uelewa wako,wewe kweli ni Mtambuzi wa mambo.Nalog offBujubuji alikuwa hajui kuwa hiyo ndiyo ID yako..................... We mpotezee tu kwa leo, naona keshajifunza kutoingilia uhuru wa wengine......
papaaa mutu ya pesaNapress Enter....Papa Mopao
hahaha umeona eh! Nalog offyani na avatar yako then umesema mwenye wivu ajinyonge kama nakuona vile .........na log off
hahahah! prof huyu mtoto anahitaji bakora! nazima computa! nalog offMwenzio ndio kavaa hapo... anasikia joto!!!. nashut down!!.
sawa bi dada we log off tu.Nalog offinaboa lakini TAMU!! nalog off