Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
ndio nimeshakuja hapa na nitaendelea kulitumia hivyo hivyo bila chenga.Nalog offNimewaona wadau baadhi ila kuna mmoja (na atakuja hapa) amekuwa kila akitoa mawazo yake bila kujali uzito wake wa hoja lazima aseme hicho unachokiita 'upumba(fu)vu, bahati mbaya bado utamuona anaendelea kuwepo na kuongeza michango bila kusahau hilo neno zuri unalolichukia