Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Yeye japokuwa kweli ni CCM yeka, lakini hajahamaki kwasababu JK ni mwenye matatizo ya akili
Unaweza weka kadi namba zake?
Yeye japokuwa kweli ni CCM yeka, lakini hajahamaki kwasababu JK ni mwenye matatizo ya akili
Nadhani watu pia mmemiss kitu kimoja katika maelezo yake... majibu aliyopewa siyo kwamba ana "afya nzuri"! angalieni kaambiwa ana hali gani...
Bw/Bi Ngida1,
Naona wewe na Wagagagigikoko hamjamfahamu Mzee Mwanakijiji. Yeye japokuwa kweli ni CCM yeka, lakini hajahamaki kwasababu JK ni mwenye matatizo ya akili. Yeye kahamaki kwasababu: kwanini kenda kuchunguzwa nje juu ya suala hili na kuwa anaona aibu kuwa Rais wa nchi anakuenda kuchunguzwa akili zake. Sasa Nd. Ngida1 unadhania hawa watu wa nje watasema nini kuhusu nchi yetu? Sio watatuona sisi sote hapa Tanzania ni wandawazimu??????
Unaweza weka kadi namba zake?
Nd.Lampart,
Nimekufahamu vizuri sana.
Kwanza, tafadhali fahamu kwamba mimi ni BWANA na sio BIBI na kwahivyo naomba safari nyengine uni-address properly au bora tumia NDUGU kama wanavyofanya wengine.
Pili, ni kuwa inaelekea JK kutokana na haya matatizo yake ya akili atajiuzulu mwakani ili apate kupumzika, au hata kama hatojiuzulu, wengi tunapenda kujua Wagagagigikoko wanatabiri nini kwa Bara? Tushawasikia kuhusu ZNZ, lakini sasa tunashauku kubwa ya kujua kuhusu Bara. Tafadhali tuulizie.
Hivi Warioba anaonekana vipi katika circles za Wagagagigikoko? Au mnamtabiri Mznz ili aje kusafisha huu uozo uliojitokeza?
Kila la kheri.
We didn't miss it, hakuiweka wazi, alisema kuwa aliambiwa apumzike, sasa sijui huko kupumzika ni pamoja na kutosafiri.
Ila mi sielewi kama madaktari wameshasema hayuko 100% fit, anang'ang'ania nini? Aachie wengine nafasi ya urais mwakani, akapumzike. This is ridiculous. We have to get vocal about this, hatuwezi kuongozwa na mtu ambaye afya yake ina mgogoro!
Unapokuwa na Rais mwenye matatizo ya akili
Susuviri.. angalia maneno ya Rais kuwa baada ya kupimwa aliambia hali yake ya afya ikoje? utaona kuwa hakuwambiwa kuwa ni "mzima"..
Alisema walimwambia yupo "salama" je akili kuwa salama ni sawa na akili kuwa nzima?Je yeye binafsi kuwa salama ni sawa na akili yake kuwa salama?Mzee Mwanakijiji said:nilipima afya yangu na hasa akili na mishipa ya damu na wataalamu wakaniambia nipo salama.
[/SIZE][/FONT][/B]
Hivi Matatizo ya Akili ni ugonjwa gani kitaalamu? Ni uendewazimu au ni Ukichaa au nini? tafadhali naomba jibu kitaaluma zaidi?
Dr Kilonzo kama upo jamvini tunaomba ufafanuzi
Mh Rais alimaanisha nini aliposema amefanyiwa uchunguzi wa akili?
Hivi Ubongo = Akili?
Acha unafiki wewe, wewe mwenye hapo ulipo ni kichaa nenda kapimwe kama hujakutwa hamnazo...Susuviri.. angalia maneno ya Rais kuwa baada ya kupimwa aliambia hali yake ya afya ikoje? utaona kuwa hakuwambiwa kuwa ni "mzima"..
..Raisi alikwenda UK kuangalia mpira wa miguu.
..akapitia Madrid kuchungulia stadium timu ya Real Madrid.
..akaenda USA kuhutubia UNGA, halafu akaenda White House wakanywa chai na Obama.
..katika moja ya ziara zake lukuki za USA alikwenda kuangalia mpira wa kikapu wa wanawake[WNBA], na pia alihudhuria dansi la wanamuziki wa BOYZ II MEN.
..pia amekwenda Jamaica kupanda mabembea. wakati wa kurudi nyumbani akachepukia New York ku-chat na Anjelina Jolie na mumewe.
..JAMANI HAYO SIYO MAPUMZIKO? AU AMESHAURIWA AWE KWENYE COMPLETE BED REST?
..Raisi alikwenda UK kuangalia mpira wa miguu.
..akapitia Madrid kuchungulia stadium timu ya Real Madrid.
..akaenda USA kuhutubia UNGA, halafu akaenda White House wakanywa chai na Obama.
..katika moja ya ziara zake lukuki za USA alikwenda kuangalia mpira wa kikapu wa wanawake[WNBA], na pia alihudhuria dansi la wanamuziki wa BOYZ II MEN.
..pia amekwenda Jamaica kupanda mabembea. wakati wa kurudi nyumbani akachepukia New York ku-chat na Anjelina Jolie na mumewe.
..JAMANI HAYO SIYO MAPUMZIKO? AU AMESHAURIWA AWE KWENYE COMPLETE BED REST?
When was the last time Mr and Mrs Kwikete had two weeks for themselves and let Pinda take control off the country.
mmh.. mbona umemruka Shein? Kabla ya kwenda Cuba Rais alikuwa mapumzikoni Ngorongoro???
Habari zilizotinga JF hivi punde ni kwamba wale waliokuwa wanampima mkulu akili (yake) walichukua sampo kidogo na kuihifadhi kwenye fridge ili wawe na uhakika kama kweli akili yake yote haijawa corrupted.
Matokeo ya awali ni kwamba akili yote ya mkulu iko corrupted na Mafisadi sasa sijui kama huyo daktari wake atalonga kwa taifa kuwaambia wananchi kwamba mkulu ni lazima apelekwe Mirembe.
the idea is to rejuvenate, week ya kazi ukaeenda ngororo weekend hayo ni mapumziko. Ni sawa sawa na weekend yako inayoanza kesho hadi jumatatu utaita holiday hiyo.