Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpeleke Mbowe na slaa maana akili zao kama zakoI know , i know, i know ... and yes .... i know
.... and am on my way ..... to the mental hospital for a brief check up
Mpeleke Mbowe na slaa maana akili zao kama zako
Rais apimwe akili kwani anaonyesha dalili za ugonjwa wa akili? Labda kuna vitu anafanya kama vile kachanganyikiwa ndio maana wakaamua kumpima ugonjwa wa akili.
zanaki umepiga magogoni....!!! ...ime click..pia kwangu ..aliondoka na gulf stream akiwa na mama ...amerudi na emirates akiwa peke yake...!! ....au ndege walipotoka jamaica au trinad ilimpeleka mama kutembelea ma shost zake...??
na ni kweli aliondoka ijumaa cuba....amefika jana ...kweli atakuwa amechoka sana kwa sana kwa safari ya masaa72..toka cuba....badala ya masaa 18!!......si aseme tu alimrudisha mama nyumbani akaendelea na bi mdogo....its time sasa wananchi wajuwe status .....mbona we were okay with MWINYI polygamous status...si dhambi!!..ila ukificha ni dhambi!!!
amezidi kupiga miayo!!
KUtoka mwananchi:
NImechukizwa na kukerwa na habari kuwa Rais wetu ameenda nje ya nchi kupimwa akili pamoja na mambo mengine! Hivi hao waliopanga jambo hilo wanamfikiriaje? Kwani ana dalili zozote za kutokuwa mzima akilini? Sitaki kabisa na tena sipendi Rais wetu apimwe akili ugenini; ni kudhalilisha taifa, na kutudhalilishwa wananchi.
Unless walikuwa wanapima kitu kingine zaidi kwenye ubongo! Lakini kama wangeweza kugundua kuwa ana matatizo kwenye akili bado angeweza kuwa Rais?
Rais wa JMT ni mtu kama walivyo watu wengine,ana matatizo ya afya kama ilivyo kwa watu wengineingawa tatizo lake ni kubwa hasa kwa nafasi ya Rais.Aina ya ugonjwa alionao Rais wetu mpendwa chaguo la Mungu ndiyo kikwazo kikubwa katika kutekeleza majukumu yake.
Unapokuwa na Rais mwenye matatizo ya akili anayeongoza watu milioni 40 na ushee na katiba inayompa madaraka makubwa yanakaribina na yale ya mwenyezi mungu bila shaka mwenye matatizo ya akili ni wananchi milioni 40 tuliokubali kumpeleka magogoni kwa kura za kishindo.
Wenye matatizo ya akili ni CC,NEC na mkutano mkuu wa CCM waliowakataa watu ambao kwa fikra zangu wasingetufikisha hapa tulipo sasa.Wenye matatizo ya akili ni vyombo vya habari vilivyowaaminisha watanzania kwamba Tanzania ni lazima iongozwe na Kikwete na genge lake la wasanii.
Wenye matatizo ya akili ni mimi na wewe tunayemjadili mtu ambaye kwa vigezo vyote hakustahili kuwa Rais wa Tanzania.
zanaki umepiga magogoni....!!! ...ime click..pia kwangu ..aliondoka na gulf stream akiwa na mama ...amerudi na emirates akiwa peke yake...!! ....au ndege walipotoka jamaica au trinad ilimpeleka mama kutembelea ma shost zake...??
na ni kweli aliondoka ijumaa cuba....amefika jana ...kweli atakuwa amechoka sana kwa sana kwa safari ya masaa72..toka cuba....badala ya masaa 18!!......si aseme tu alimrudisha mama nyumbani akaendelea na bi mdogo....its time sasa wananchi wajuwe status .....mbona we were okay with MWINYI polygamous status...si dhambi!!..ila ukificha ni dhambi!!!
amezidi kupiga miayo!!
mtu anaenda kupimwa kile alicho na wasiwasi nacho mwilini mwake, sasa mkulu ana mashaka na akili yake hivyo ni haki yake kuamua ipimwe. Nampongeza sana maana hiyo ni dalili nzuri kujishuku.
I can now understand why it takes ages for him to decide mambo muhimu ya nchi.Pia kutokuwa na msimamo thabiti kuhusu mustakabali mzima wa nchi yetu!Ningekuwa mimi ningesema tu nilichekiwa afya BUT anything kuhusu akili ningeweka kibindoni!It will spark controversy!!!
Maneno ya rais yanaonyesha matatizo ya akili makubwa kuliko maneno ya daktari yanavyofariji kwamba hana matatizo ya akili.
Mkuu nisome tena utanielewa.watu mna majibu utadhani mnaigilizia!