mmh.. mbona umemruka Shein? Kabla ya kwenda Cuba Rais alikuwa mapumzikoni Ngorongoro???
Na kabla ya Ngorongoro alikuwa Ruaha National park mkoani Iringa for almost 2 weeks kwa mapumziko of course habari zimevuja baadaye kwamba kumbe alikuwa ukweni akioa mtoto wa asas. ILA all in all mimi sielewi huyo mtu wa Human Resources huko ikulu amebadilika au vipi? Maana kwa kumbukumbu zangu huyu rais anaongoza kwa mapumziko ambayo yaliyo mengi tofauti na waliomtangulia huwa hayasemwi kwani haendi Bagamoyo yeye hupenda mbugani zaidi.
Lakini kingine ni kwamba rais huyu anaposema kwamba atapumzika baada ya mwaka mpya anamaanisha atastopisha kidogo safari baada ya mwaka mpya, meaning kwake yeye kusafiri ndio kufanya kazi ah Tanzania nakupenda sana sana ila naendelea kukupa POLE KUBWA.