Sitaki tena, sipendi wampime Rais akili!?

mmh.. mbona umemruka Shein? Kabla ya kwenda Cuba Rais alikuwa mapumzikoni Ngorongoro???

Na kabla ya Ngorongoro alikuwa Ruaha National park mkoani Iringa for almost 2 weeks kwa mapumziko of course habari zimevuja baadaye kwamba kumbe alikuwa ukweni akioa mtoto wa asas. ILA all in all mimi sielewi huyo mtu wa Human Resources huko ikulu amebadilika au vipi? Maana kwa kumbukumbu zangu huyu rais anaongoza kwa mapumziko ambayo yaliyo mengi tofauti na waliomtangulia huwa hayasemwi kwani haendi Bagamoyo yeye hupenda mbugani zaidi.

Lakini kingine ni kwamba rais huyu anaposema kwamba atapumzika baada ya mwaka mpya anamaanisha atastopisha kidogo safari baada ya mwaka mpya, meaning kwake yeye kusafiri ndio kufanya kazi ah Tanzania nakupenda sana sana ila naendelea kukupa POLE KUBWA.
 
Daktari aliempima akili JK kapigwa na mshangao kama raisi wa watz yuko hivi...je vipi watz waliomchagua?
 
Acha unafiki wewe, wewe mwenye hapo ulipo ni kichaa nenda kapimwe kama hujakutwa hamnazo...

tatizo lenu hamfahamu lugha halafu mnasukumwa na chuki bila uzalendo...safari hii mjinyonge

Kwi kwi kwi

Unataka upewe maji ya kunywa au takbrihu wabrihaurischkuwooouuuaauu
 
Basi kwa taarifa yako Mr and Mrs hawataki kupumzika pamoja huwa wanapumzika sana tu ila each for his/herself na mtu wao! Sijui umenipata hapo?
Ila gettig back to what you said, hakuna rais aliyekuwa holiday katika historia yetu kama huyu! He is on permanent holiday!

Susuviri hii nzuri sana nimeipenda kwa kweli. Infact ndio maana anaposema atapumzika mimi nashindwa kuelewa anamaanisha nini hasa kwani hivi akiwa kazini anafanya nini? I mean hivi kuna tofauti yeyote naomba kusaidiwa ya yeye kuwa mapumzikoni na kazini? Kweli ninahitaji msaada wajameni binafsi sioni tofauti yeyote. Akisafiri na akiwepo kuna tofauti yoyote ya kiutendaji?
 
Kamwambie na wewe unataka kupimwa akili yako? Ati analyze wewe B@wege la mwisho kabisa.
Habari zilizotinga JF hivi punde ni kwamba wale waliokuwa wanampima mkulu akili (yake) walichukua sampo kidogo na kuihifadhi kwenye fridge ili wawe na uhakika kama kweli akili yake yote haijawa corrupted.


Sio mimi niliosema diagnosis inayofanywa verbally inakaa kwenye friji sasa sijui nani wakwenda kupima hapa.
 
jmushi1,

..hizo safari ni kama vacation.

..hivi hujaona watumishi wa umma wanavyofurahia safari? ingekuwa ni kitu kigumu and stressing unafikiri wangezifurahia kiasi hicho?

..sasa pamoja na SAFARI/VACATION zote hizo, kwanini bado wanataka Raisi apumzike? au wanataka awe kwenye COMPLETE BED REST?

Ndio maana kwenye last posting yangu niliuliza kama wamemshauri aende safarini mapumzikoni,kwasababu ushauri wa awali ulikuwa ni kwamba "apumzike kusafiri" sijui ni kiswahili kigumu hapa ama ni maelezo kutoka kwa rais ni magumu...teh teh teh!Kama safari ni vacation then wanamtaka apumzike kwasababu ya uchovu wa raha za kupumzika?!teh teh teh teh!
 
Habari zilizotinga JF hivi punde ni kwamba wale waliokuwa wanampima mkulu akili (yake) walichukua sampo kidogo na kuihifadhi kwenye fridge ili wawe na uhakika kama kweli akili yake yote haijawa corrupted.


Sio mimi niliosema diagnosis inayofanywa verbally inakaa kwenye friji sasa sijui nani wakwenda kupima hapa.

Nimekwambia wewe ndio B@wege la mwisho hata huelewi. Hebu sasa tueleze akili inapimwa vipi na hadi huyu chizi wako aende kupima akili.
 
its not bad to find out how your brain is doing, trauma can come any time afterall its good for everybody to check health not just brain but overall, just out of curiosity was the IQ figure revelead?
 
mmh wampime akili?? kwani ameonekana zimempaa kidogo eee au ni mambo ya afya ya kawaida jamani, ila wangempima IQ yale jamaaa anazo lakini!! tukisema wanampima akili means hata sisi akili zetu hazipo fine inatakiwa zipimwe si ndo tulimwingiza madarakani!!
 
Angekuwa na akili timamu asingeachia haya yaendelee!

Jana nilikuwa na safari ya kwenda airport nikitokea nyumbani maeneo ya mikocheni. Nilitoka nyumbani saa 8 mchana, nikapitia Ali Hassan-Bibi titi-Nyerere road. Kuanzia mjini niliona askari wa traffic kila mahali kwa idadi isiyo ya kawaida. Nikahisi ni matatizo ya umeme kwenye taa za kuongozea magari hivyo wanakuja barabarani kutoa msaada. Cha kushangaza ni kwamba baada tu ya kufika maeneo ya kiwanda cha sigara karibu na TAZARA, foleni ikawa kubwa magari yote yamesimama.

Tumesimama kama masaa mawili hivi, kisha nikaona ving'ora na magari yakitoka mbio upande ninakoelekea. Kumbe ni mheshimiwa rais alikuwa anapita. Ndio akili ikanijia! Ala! Kumbe ndio sababu ya yote haya. Kutoka pale mpaka nijinasue na msongamano ule, nilifika airport saa 11 jioni. Safari ya nusu saa ikawa imenichukua masaa 3.

Nikaanza tena safari ya kurudi nyumbani, hali ikawa ni ile ile. Kutokana na ule msongamano uliosababishwa na rais, ule msongamano wa kawaida wa siku zote ukawa mara mbili zaidi. Nilifika nyumbani saa mbili usiku. Safari ya nusu saa ikawa tena imenichukua masaa 3.

Ninasikitishwa sana na hali hii. Dar es salaam ina msongamano wa magari kwa sababu ya ufinyu wa miundo mbinu yake. Halafu mtu maarufu kwa jina 'mheshimiwa' anadiriki kuuongeza bila aibu ili yeye awahi baada ya starehe yake ya kubembea. Hawa anaowanatisha barabarani ndio wale wanaomzalishia kodi ya kufanya asiyotakiwa kufanya ikiwemo kubembea (kama vile hakupitia utoto) na kwenda hospitali kupima akili wakati hili ni wazi linadhihirisha hali ya akili yake.

Kama tusipobadilisha jinsi ya kufanya shughuli zetu tutaendeleaje? Barabara tulizo nazo hivi sasa licha ya kuongezeka magari kwa maelfu, sio tofauti sana na tulizokuwa nazo miaka 20 iliyopita. Namaanisha hakuna uwiano wa ukuaji. Swali langu la kwanza ni kwanini tuendelee na tabia ileile ya kuzuia magari yote jiji zima wakati 'mheshimiwa' anapopita kama tulivyokuwa tunafanya miaka hiyo tukiwa na magari kumi?

Miaka ya sitini na sabini rais alikuwa anapita na kingo'ra ili jiji lote lijue(wakati huo watu na magari ni machache na mfumo ulikuwa wa kibabe). Je ni lazima hadi leo tuendelee kufanya hivyo hata kama tunajua shughuli za uzalishaji mali zinasimama?

Barabara zinaanzaga kufungwa pindi tu ndege inapokaribia kutua, au rais akiwa anajiandaa lisaa limoja kabla ya safari. Je kuna umuhimu wa kuendelea kufanya hivyo hata kama tunajua shughuli za maendeleo zimesimama kwa kuwa 'mheshimiwa' hajajenga barabara za kutosha?

Ni kwa nini askari polisi wanajaa barabarani kuzuia magari ya wananchi walipa kodi na wazalishaji mpaka 'mheshimiwa' apite halafu na wenyewe wanatokomea kusikojulikana na kuwaacha watu barabarani wanateseka kwa msongamano waliousababisha? Hii nchi inamtumikia mtu mmoja? Ni kwa nini basi tulipe kodi? Kuwalipa polisi kumtumikia 'mheshimiwa' tu?

Kama 'mheshimiwa' anatumia barabara ya uelekeo moja, ni kwa nini watumiaji wa uelekeo mwingine wasiruhusiwe kuendelea? Hata barabara kama ya Nyerere, lane za kushoto ziko mbali kabisa na lane za kulia. Ni kwa nini zote zizuiwe wakati mheshimiwa anahitaji kutumia moja tu at a time? Kuna siri gani ya ajabu hapa? Mnaohusika mmeliona hilo?

Mbona nchi nyingine zilizoendelea viongozi wao hawana misafara? Wanakaa kwenye foleni na wananchi wa kawaida hivyo wanapata changamoto ya kuleta mabadiliko? Kama hatuwaigi walioendelea tutaendeleaje?

Mimi nakerwa sana na muda unaopotea barabarani pasipo na sababu ya msingi. Mengi ya tunayoyafanya ni mapokeo ya tangu enzi za mkoloni, hakuna anayetaka kuumiza kichwa kufanya mabadiliko. Ni wakati sasa wa kuyatizama.

Ndugu yangu, na mimi kama wewe nilikumbwa na mkasa huo huo siku hiyo. Nilikaa ndani ya gari na joto la siku hiyo kwa masaa matatu. Nikajuta kuzaliwa.

Napendekeza waheshimiwa hawa wanunuliwe Helicopter maalum ya kuwapeleka huku na huko hasa katika miji hususan Dar es Salaam.
 
Kutokana na mambo yanayo endelea kwa viongozi wetu, imefika wakati sasa wa kupima akili za kiongozi kabla ya kumkabidhi ofisi ya umma. Kuna vitu vinafanywa na viongozi wetu ambavyo sio vya kizalendo wala hauhitaji degree kujua hapa kiongozi kapotoka au anadanganya. Wanatenda mambo kinyume na kiapo chao. Tulipofikia hamna haja ya kuapishwa tena, Mtu atapimwa akili kisha anakabidhiwa ofisi. Tukiweka imani katika viapo Tanzania haitafika popote. NCHI YA VIAPO BILA UWAJIBIKAJI NI ULAGHAI NA USALITI.
 
Wanagawiana vyeo sehemu nyeti bila hata interview ya aina yoyote. sifa ya kwanza ni kuwa rafiki wa mkuu, ndugu au mtoa rushwa. Inabidi wawe wanapigwa interview ya maana hata kabla ya kuchukua form ya kugombea urais wala ubunge kwani hao wabunge ndo wanakuja kuwa mawaziri ambao wanakuja kutumia akili finyu kama maisha ya funza wakati wa kutoa maamuzi.
 
Ningefurahi wakianzia kwa Kikwete, halafu anafuatia Shibuda na Nape
 
Back
Top Bottom