Asalaam Aleykum,
Taarifa nilizonazo ni kuwa TFF walienda benki ya NMB kuomba mkopo kwa njia ya overdraft ili waweze kuwalipa Brazil appearance fees za kuja Tanzania. Sina uhakika na exact figure ya mkopo ila taarifa ni kuwa it was $2.5 million (kama shilingi bilioni 3 hivi). NMB wakijua fika kama sponsors wa TFF kuwa shirikisho hilo halina uwezo wa kulipa mkopo huo, walikataa kutoa fedha hizo. Waziri wa Michezo, George Mkuchika, akaiandikia barua NMB kuunga mkono ombi la mkopo huo. Baada ya ku-assess risk za mkopo huo kwa TFF ambao NMB inawajua fika kuwa hawana pesa na kila siku wanatembeza bakuli la kuomba msaada, walimgomea Waziri Mkuchika na kusema hawamtambui. Uongozi wa NMB ukasimama kidete na kusisitiza kuwa kamwe hautatoa mkopo kwa TFF kuwalipa Brazil waje Tanzania mpaka Rais Kikwete au Waziri Mkuu Pinda aandike barua ya serikali kutoa guarantee kwa mkopo huo. Hapo ndipo baada ya kupata baraka zote za Ikulu, Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, akaiandikia barua NMB kuwa serikali inaweka commitment ya kubeba deni lote iwapo TFF watashindwa kulipa deni hilo. Baada ya kupata guarantee hiyo kutoka kwa Waziri wa Fedha, NMB wakakubali kutoa overdraft kwa TFF.
Business plan ya TFF ilikuwa kwamba kwa wastani wa bei ya ticket ya 50,000/- x watu 60,000 = shilingi bilioni 3. Matokeo yake ni kuwa tiketi za VIP tu ndiyo zilikuwa sold out huku zile za walala hoi ambao ndiyo walitarajiwa kujaa uwanjani zikabaki wazi. Sijasikia TFF ikitangaza mapato, lakini sidhani kama itafika hata shilingi bilioni 1. Hii ina maana kuwa serikali italazimika kubeba deni la zaidi ya shilingi bilioni 2 kutokana na guarantee iliyoiwekea TFF.
It seemed like a good idea at that time. Ujio wa Brazil unge raise profile ya soka la Tanzania, ungeutangaza Uwanja wa Taifa duniani, ungevutia watalii na wawekezaji Tanzania na ungemjengea sifa JK kwa umma wa Watanzania kama "Mpenzi mahiri wa michezo" kama mabango makubwa yenye picha ya Rais akibusu Kombe la Dunia yalivyopambwa uwanjani siku ya mechi. Ninaambiwa kuwa Rais Kikwete alifurahia sana mpango wa kuileta Brazil nchini na kuamuru serikali itoe kila ushirikiano kwa TFF kufanikisha jambo hili.
Matokeo yake ni kuwa kulikuwa na maelfu ya viti vitupu uwanjani baada ya wananchi kushindwa kulipa kiingilio.
Hii ni ishara tosha ya kuwa serikali hii iliyo ahidi kuleta Maisha Bora kwa kila Mtanzania kumbe wala haijui umasikini halisi wa wananchi wake yenyewe! Hicho kiingilio cha chini cha elfu 30 ni mapato ya mwezi mzima ya Watanzania walio wengi ingawa its just pocket change kwa viongozi wetu.
HII NDIYO NCHI YETU NA HAWA NDIYO VIONGOZI WAKE.
Taarifa nilizonazo ni kuwa TFF walienda benki ya NMB kuomba mkopo kwa njia ya overdraft ili waweze kuwalipa Brazil appearance fees za kuja Tanzania. Sina uhakika na exact figure ya mkopo ila taarifa ni kuwa it was $2.5 million (kama shilingi bilioni 3 hivi). NMB wakijua fika kama sponsors wa TFF kuwa shirikisho hilo halina uwezo wa kulipa mkopo huo, walikataa kutoa fedha hizo. Waziri wa Michezo, George Mkuchika, akaiandikia barua NMB kuunga mkono ombi la mkopo huo. Baada ya ku-assess risk za mkopo huo kwa TFF ambao NMB inawajua fika kuwa hawana pesa na kila siku wanatembeza bakuli la kuomba msaada, walimgomea Waziri Mkuchika na kusema hawamtambui. Uongozi wa NMB ukasimama kidete na kusisitiza kuwa kamwe hautatoa mkopo kwa TFF kuwalipa Brazil waje Tanzania mpaka Rais Kikwete au Waziri Mkuu Pinda aandike barua ya serikali kutoa guarantee kwa mkopo huo. Hapo ndipo baada ya kupata baraka zote za Ikulu, Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, akaiandikia barua NMB kuwa serikali inaweka commitment ya kubeba deni lote iwapo TFF watashindwa kulipa deni hilo. Baada ya kupata guarantee hiyo kutoka kwa Waziri wa Fedha, NMB wakakubali kutoa overdraft kwa TFF.
Business plan ya TFF ilikuwa kwamba kwa wastani wa bei ya ticket ya 50,000/- x watu 60,000 = shilingi bilioni 3. Matokeo yake ni kuwa tiketi za VIP tu ndiyo zilikuwa sold out huku zile za walala hoi ambao ndiyo walitarajiwa kujaa uwanjani zikabaki wazi. Sijasikia TFF ikitangaza mapato, lakini sidhani kama itafika hata shilingi bilioni 1. Hii ina maana kuwa serikali italazimika kubeba deni la zaidi ya shilingi bilioni 2 kutokana na guarantee iliyoiwekea TFF.
It seemed like a good idea at that time. Ujio wa Brazil unge raise profile ya soka la Tanzania, ungeutangaza Uwanja wa Taifa duniani, ungevutia watalii na wawekezaji Tanzania na ungemjengea sifa JK kwa umma wa Watanzania kama "Mpenzi mahiri wa michezo" kama mabango makubwa yenye picha ya Rais akibusu Kombe la Dunia yalivyopambwa uwanjani siku ya mechi. Ninaambiwa kuwa Rais Kikwete alifurahia sana mpango wa kuileta Brazil nchini na kuamuru serikali itoe kila ushirikiano kwa TFF kufanikisha jambo hili.
Matokeo yake ni kuwa kulikuwa na maelfu ya viti vitupu uwanjani baada ya wananchi kushindwa kulipa kiingilio.
Hii ni ishara tosha ya kuwa serikali hii iliyo ahidi kuleta Maisha Bora kwa kila Mtanzania kumbe wala haijui umasikini halisi wa wananchi wake yenyewe! Hicho kiingilio cha chini cha elfu 30 ni mapato ya mwezi mzima ya Watanzania walio wengi ingawa its just pocket change kwa viongozi wetu.
HII NDIYO NCHI YETU NA HAWA NDIYO VIONGOZI WAKE.