omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Sijasikia TFF ikitangaza mapato, lakini sidhani kama itafika hata shilingi bilioni 1. Hii ina maana kuwa serikali italazimika kubeba deni la zaidi ya shilingi bilioni 2 kutokana na guarantee iliyoiwekea TFF.
Kuna tatizo gani ukisubiri kusikia wamekusanya kiasi gani?
omarilyas