Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,503
Tatizo ni kuwa nchi hii imajaa viongozi wasiotumia akili hata siku moja.
Tatizo sio viongozi tu. Ni mijitu yenyewe maana hata hao viongozi wanatoka miongoni mwetu.
Ni ukweli unaouma kuwa Miafrika Ndivyo Tulivyo na mpaka sasa hakuna mtu aliyenithibitishia vinginevyo.
Kazi kunyoosheana vidole tu...oooh ni viongozi...oooh wasomi vile...oooh wananchi vile...SMH