mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
- #61
chupi za watoto zenyewe hazina tatizo...Hapo ndio utajua jinsi MAWAZO yanavyoumba. Wengine wametangulia mbele zaidi...nywele,miguu navyo vimewekwa kundi hili la chupi,yaani visionekane wazi kwani vitakufanya uwe na matamanio. Mimi naenda mbele hatua kumi:hata Mungu unayemfahamu alitengenezwa mawazoni kama chupi...usihamaki hebu rudia kusoma. Mungu ambaye ana kiberiti na petroli, ambaye hata kama ulikufa kwa ajali ya moto lazima akupe mwili upya ili akuchome yeye afurahi...
Tatizo nini hasa!?