sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Sio kweli.Kitu kingine:
Hili vazi lina sifa kuu moja (ukiacha sifa nyingine ndogondogo):
.....Ni vazi la kwanza kuvaliwa na la mwisho kuvuliwa (tusibishane hapo!).
Sio kweli.Kitu kingine:
Hili vazi lina sifa kuu moja (ukiacha sifa nyingine ndogondogo):
.....Ni vazi la kwanza kuvaliwa na la mwisho kuvuliwa (tusibishane hapo!).
Sio kweli.
Umesomeka mtumishi,Ukiwa Moshi ama Arusha ulizia kwa akina mama Ntilie almaarufu kama kama mama lishe
Umesomeka mtumishi,
Naamin km ww unainywa basi itakuwa ni nzuri,
Nikiwa huko nitaiulizia!
​sio siri tena kwa tunakoelekea litaanza valiwa hadi na watangazaji kwenye TV PROGS.
Nadhani wewe ndo unalifanya siri
kwangu mimi sio siri
Kitu kingine:
Hili vazi lina sifa kuu moja (ukiacha sifa nyingine ndogondogo):
.....Ni vazi la kwanza kuvaliwa na la mwisho kuvuliwa (tusibishane hapo!).
Hahahhaaha....Huyu hataikiwa na matobo hatupi...ndo maana anakwambia anaianika uvunguni. Ana balaa huyu!!!!
Kuwa ya kwanza kuvaliwa na ya mwisho kuvuliwa inategemea aina ya nguo mtu anayovaa/aliyovaa. Hivyo bado nasisitiza kuwa sio kweli.Tupe maujuzi yako.
Kuwa ya kwanza kuvaliwa na ya mwisho kuvuliwa inategemea aina ya nguo mtu anayovaa/aliyovaa. Hivyo bado nasisitiza kuwa sio kweli.
Mi nakataa! Hili vazi halinunuliwi kwa siri..otherwise lisingeuzwa hadharani.
Kwa anaeheshimu utupu wake hawezi akavaa chupi hadharani au kuivua hadharani...Hata nguo za kawaida sidhani unazivalia sebuleni au jikoni ndugu yangu...
Sehemu za siri (ni kiungo cha aibu)zinaheshimika..ndio maana huwezi ukapita mtupu mbele za watu unless ni mumeo/mkeo. Kuhusu kufuliwa,inaweza ikafuliwa kwa siri ila kuanikwa inatakiwa ianikwe kwenye jua..utatengeneza hata kamba ya kauanika nyuma ya nyumba.
Na kutupwa ni vizuri ikatupwa kwa siri tena huku ikichomwa moto ni vizuri zaidi..
chupi sio vyazi la siri siku hizi
Hili vazi linashangaza kweli!
Dukani linauzwa hadharani.
Wakati wa kununuliwa linanunuliwa kwa siri.
Wakati wa kuvaliwa linavaliwa kwa siri na linavaliwa sirini.
Linaficha siri.
Linafuliwa na kuanikwa kwa siri.
Linapochakaa linatupwa kwa siri.
Kwa nini limekuwa la siri kiasi hiki?
Mtumishi,Ukiwa Moshi ama Arusha ulizia kwa akina mama Ntilie almaarufu kama kama mama lishe
Badidilika ndugu yangu. Hakuna siri juu ya chupi kwani watu wanajua kuwa mtu ni lazima avae chupi. Chupi ni vizuri ikaanikwa juani ili ikauke kwa jua. Hiyo ni nzuri kwa afya ya mtumiaji.