Khaaaaa!Supu ya chupi ni maarufu sana mikoa ya Arusha na Kilimanjaro
Duu!!! Umetisha chief.. kwa hiyo kitu mpaka kitoboke ndio kinatupwa...Most of awa chupiz have toboz, and toboz aa not gud tu bi siin in pabulik. Yangu naanika ndani tena mvunguni, hata soksi
Khaaaaa!Most of awa chupiz have toboz, and toboz aa not gud tu bi siin in pabulik. Yangu naanika ndani tena mvunguni, hata soksi
Yooote 9 ! Sasa 10 unyeti wa Chupi upo kwenye hili ; Sijawahi kuona mwanaume awe awavyo amemnunulia mamaake mzazi/mkubwa au mdogo zawadi ya chupi ! Atamnulia nguo aina kwa aina lakini chupi hamnunulii whaaay ?
Na kwa wanawake kinyume cha hili huweziona kamnunulia babaake haka kanguo! Hapa patoshe kutoa dira kwamba chupi ni NYETI.
Kina nani hao wanalifanya liwe siri?
Duu!!! Umetisha chief.. kwa hiyo kitu mpaka kitoboke ndio kinatupwa...
inapatikana almost bar zote hapa arusha ila ya pale kenny garden ama pale florida wanajua kuiandaa vizuri zaid.Khaaaaa!
Kwa hili nimeshawishika kukusalimia mtumishi wa mungu,
Nakusalimu ktk jina la yesu,
Napenda unipe location ya inakopatikana hiyo supu nimepata hamu ya kuionja lol!
Cdhani kwa kweli..Khaaaaa!
Ikulu imenusurika na mafangas kweli???
Hebu nifafanulie hiyo supu ni ya mnyama aitwaye chupi au ni ya chupi hizi hizi nguo?na zinapikwa zikiwa mpya au used?inapatikana almost bar zote hapa arusha ila ya pale kenny garden ama pale florida wanajua kuiandaa vizuri zaid.
Khaaaaa!
Kwa hili nimeshawishika kukusalimia mtumishi wa mungu,
Nakusalimu ktk jina la yesu,
Napenda unipe location ya inakopatikana hiyo supu nimepata hamu ya kuionja lol!