that is a not a question to great thinkers,u better ask to stupid thinkers
Mpita Njia,
Unasema ikitokea? Ukweli ni kwamba Slaaa anashindwa kwasababu pembezoni mwa nchi hana wabunge wala madiwani wa kulinda kula zake.
Hakuna mabolozi wala watendaji wa vijiji wa kuwashawishi wananchi mpaka dakika za mwisho wakapige kura. Viti vya mjini Slaa atapata kura nyingi lakini sio vijijini.
Kanipigia aunt yangu toka tabora,yeye ni msimamizi wa uchaguzi ktk kata na ni kada wa ccm.jina lake ni la ukoo wa waziri mkuu mstaafu ambaye mwaka huu amepigwa chini kura za maoni pale kanda ya katikati.kaniuliza 'unakuja kupiga kura? nikamwambia niko njiani nakuja.'unampigia nani? nikamwambia 'dr slaa.Skuamini nlichokiskia,ameshangilia na kuniambia'big up aunt,tunataka mabadiliko.AMIZING!!!!!!!
Jamani hii ya Slaa ni Tsunami! Mwamko wa watanzania toka kila kona ya nchi, hii si bure, kuna nguvu ya Maulana!, baadhi ya madiwani, wajumbe wa CCM, kwa midomo yao wana nishuhudia kwamba kampeni za CCM wanafanya kama ajira yao, lakini kura kwa Dr. wa ukweli.
Ndani ya chama wengi pia wanahasira ya "chama cha kifamilia" let us keep our finger crossed!
Ni habari ya kutia moyo!! Ana uzito gani ndani ya sisiemu?
Kwa kweli niwazi CCM Tunasubiri Kikwete aapishwe 2,ajabu nikwamba ndani ya bunge CCM Itakuwa na 90% ya umiliki,haya vip hao wababaishaji wataweza,wengi wa wagombea wa upinzani hawana wake,vip wataongoza TAIFA la wanandoa
Hivi slaa ataoa kwanza au ataapishwa kwanza? Bei ya sementi ikiwa elfu tano chips mayai itabakia 1500? Au huu ni usanii kama mwingene tena huu umepita mipaka? Great thinkers mpo?