bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
True?????
mmmh!!
mbona unanisemea wakati nina uwezo bado wa kujisemea mwenyewe.ona sas unampotosha EM!!Anaongea kwa reverse huyo!
True?????
mbona unanisemea wakati nina uwezo bado wa kujisemea mwenyewe.ona sas unampotosha EM!!Anaongea kwa reverse huyo!
hivi gwajima ndio mwenye hammer?pastor ana hadithi..hadithi njoo yule!!!mmh wateule tuwe macho!!Sitashangaa kama hii habari ya kusadikika umesikia kwa Pastor Hammer pale ubungo kwa ufufuo wa misukule.
Ur killing that guy on ur avatar!
Hii habari ni kweli mimi nillipata habari hizi siku hiyo ilipotokea, Kimsingi ni kwamba hapa Tanzania kuna MILANGO SABA YA KWENDA KUZIMU.
Moja ya malango hayo lipo pale Salender umbali kidiogo kutoka kwenye daraja.
Biblia iliongelea haya malango MATAYO 16:18Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya kuzimu hayataweza kulishinda.
Lango hilo linaitwa MUSTALA
Mustala lina aina 12 za walinzi wa kimajini, Yafuatayo ni majina ya hayo majini na kazi zao walizopewa kuwatesa wanadamu.Kimsingi huyo dada alichukuliwa na moja ya kati haya majini yafuatayo
1) KHATAFAR.
Majukumu ya jini hili ni
Linasimamia laana za ukoo.
2)MUZAPHAR
Linakwamisha kila kitu ambacho kinaweza kumletea mtu maendeleo kama likitumwa kwako
3)LADWIFU
Linasimamia
Mateso
Ufukara
Kupotea pesa bila kujua zilikokwenda
4)JAJUNI
Linawafanya wanawake kula udongo
5)JAKHARI
Hutorosha mali pia huzuia wateja wasije kwenye biashara yako
6)KHASINANI
Hili jini hutupiwa wanaume na linasimia mambo yafuatrayo
Sigara
Pombe
Madawa ya kulevya
Fujo
Mateso mbalimbali
7)JUBELI
Husababisha utasa kwa wanawake!!!!!!!!!!DSM ?
8)SIFAFINO
Linasimamia ukahaba both Male and F
9)SUBIANI
(a)Husababisha ajali. Linapenda damu na ndiyo chakula chake likitumwa lazima litengeneze ajali ili lipate kula.
(b)Husababisha wanawake wasione siku zao, linaivyonza hiyo damu.
(c)Husababisha maumivu sana siku za mwamke zikifika
(d)Some time husababisha mwanmke atokwe na damu kupita kiasi
10)SUMEL
Hili jini huangamiza mimba, mimba kutoka mara kwa mara.hata watoto wanao kufa wakati wa kuzaliwa huwa linawachukuwa.
11)MUNSAR
Linasababisha ushoga na usagaji
12)WAIDADAT
Hutumwa kwa wanume tu.
Husabaisha kuvaa hereni na kusuka rasta kwa wanaume.
Habari hii nimeiandika ili mtambua kuwa vita yetu si juu ya damu na nyama bali ni ya kiroho. Na VITA ili ushinde yafaa uzijue mbinu za adui yako ambaye ketu ni shetani
Malango sita yaliyobakia nayaifadhi ila ukitaka kujua yako wapi na aina za majini yanayomiliki na madhara yake kwa binadamu NITAFUTE KWA MUDA WAKO.
Du kaaaazi kwelikweli!Hii habari ni kweli mimi nillipata habari hizi siku hiyo ilipotokea, Kimsingi ni kwamba hapa Tanzania kuna MILANGO SABA YA KWENDA KUZIMU.
Moja ya malango hayo lipo pale Salender umbali kidiogo kutoka kwenye daraja.
Biblia iliongelea haya malango MATAYO 16:18Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya kuzimu hayataweza kulishinda.
Lango hilo linaitwa MUSTALA
Mustala lina aina 12 za walinzi wa kimajini, Yafuatayo ni majina ya hayo majini na kazi zao walizopewa kuwatesa wanadamu.Kimsingi huyo dada alichukuliwa na moja ya kati haya majini yafuatayo
1) KHATAFAR.
Majukumu ya jini hili ni
Linasimamia laana za ukoo.
2)MUZAPHAR
Linakwamisha kila kitu ambacho kinaweza kumletea mtu maendeleo kama likitumwa kwako
3)LADWIFU
Linasimamia
Mateso
Ufukara
Kupotea pesa bila kujua zilikokwenda
4)JAJUNI
Linawafanya wanawake kula udongo
5)JAKHARI
Hutorosha mali pia huzuia wateja wasije kwenye biashara yako
6)KHASINANI
Hili jini hutupiwa wanaume na linasimia mambo yafuatrayo
Sigara
Pombe
Madawa ya kulevya
Fujo
Mateso mbalimbali
7)JUBELI
Husababisha utasa kwa wanawake!!!!!!!!!!DSM ?
8)SIFAFINO
Linasimamia ukahaba both Male and F
9)SUBIANI
(a)Husababisha ajali. Linapenda damu na ndiyo chakula chake likitumwa lazima litengeneze ajali ili lipate kula.
(b)Husababisha wanawake wasione siku zao, linaivyonza hiyo damu.
(c)Husababisha maumivu sana siku za mwamke zikifika
(d)Some time husababisha mwanmke atokwe na damu kupita kiasi
10)SUMEL
Hili jini huangamiza mimba, mimba kutoka mara kwa mara.hata watoto wanao kufa wakati wa kuzaliwa huwa linawachukuwa.
11)MUNSAR
Linasababisha ushoga na usagaji
12)WAIDADAT
Hutumwa kwa wanume tu.
Husabaisha kuvaa hereni na kusuka rasta kwa wanaume.
Habari hii nimeiandika ili mtambua kuwa vita yetu si juu ya damu na nyama bali ni ya kiroho. Na VITA ili ushinde yafaa uzijue mbinu za adui yako ambaye ketu ni shetani
Malango sita yaliyobakia nayaifadhi ila ukitaka kujua yako wapi na aina za majini yanayomiliki na madhara yake kwa binadamu NITAFUTE KWA MUDA WAKO.
Hii habari ni kweli mimi nillipata habari hizi siku hiyo ilipotokea, Kimsingi ni kwamba hapa Tanzania kuna MILANGO SABA YA KWENDA KUZIMU.
Moja ya malango hayo lipo pale Salender umbali kidiogo kutoka kwenye daraja.
Malango sita yaliyobakia nayaifadhi ila ukitaka kujua yako wapi na aina za majini yanayomiliki na madhara yake kwa binadamu NITAFUTE KWA MUDA WAKO.
Mhh! I don't believe it, mleta mada hebu tueleze ameshuhudia ibada ya wapi? I mean kanisa gani
Hii habari ni kweli mimi nillipata habari hizi siku hiyo ilipotokea, Kimsingi ni kwamba hapa Tanzania kuna MILANGO SABA YA KWENDA KUZIMU.
Moja ya malango hayo lipo pale Salender umbali kidiogo kutoka kwenye daraja.
Biblia iliongelea haya malango MATAYO 16:18‘'Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya kuzimu hayataweza kulishinda.
Lango hilo linaitwa MUSTALA
Mustala lina aina 12 za walinzi wa kimajini, Yafuatayo ni majina ya hayo majini na kazi zao walizopewa kuwatesa wanadamu.Kimsingi huyo dada alichukuliwa na moja ya kati haya majini yafuatayo
.