Iramusm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 509
- 314
Hii stori ni nzito sana, inakuaje hatujasikia kuhusu ndugu wa huyo dada wakiongelea hili au kumtafuta? Na hii stori inasema kulikuwa na shuhuda ambaye ni trafiki,vipi hatujasikia lolote kutoka kwa huyu trafiki,manake hii si stori nyepesi nyepesi? Vipi hata magazeti ,especially ya udaku hayana hii stori mpaka sasa? Just curious