King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Kweli Freema Agyeman,
Ila sasa huyo mama keshafanya hayo yote....Shida yangu ni kwamba, kwa nini hatutaki kukubali kwamba lazima kuna jambo ambalo lilimfanya afikie hatua hiyo ambayo ki ukweli si ya kawaida. Na je, tukilijua hilo jambo haliwezi kutupa mtamzamo tofauti na huu wa sasa??
Babu DC!!
Jambo ama sio jambo huyo mama alikuwa selfish.
Kaunga, skia hii stori ya last week ya houseboy wa shosti wangu. Kijana alifanya vituko baada ya kuletwa from kibaha to dsm. Sikukuu akaalikwa aende kumtembelea mamake anakaa tegeta. Akarudi next day na kusema walilala njaa. Shosti ana jumba la ghorofa na anakaa alone, hana mlinzi so hboy anapaswa awepo mchana na usiku. Alianza visa vya kupiga simu wakati boss wake yuko safari akiomba ruhusa, mwisho boss aliporudi kuruhusiwa akarudi kesho yake. To cut the story, aliporudi alitimuliwa. Akaenda kwa mamake. Jioni shosti anarudi same day anamkuta mamake na yeye getini wanaua mbu. Mama alimlilia machozi amsamehe kijana. Na kumuambia mume anaeishi nae hataki kuwasikia wanae. Anamuambia shosti wangu 'hapa leo nikirudi nitapigwa kama mbwa manake nimetoroka. Ila msamehe mwanangu manake staki arudi kijijini, walau hapa naweza kum-monitor. Akikusumbua niite nitakuja kumcharaza hapa, na najua nikirudi nyumbani na mie nitapigwa'
Unaona sacrifice of a desperate parent? Kaunga, biblia inasema ziko njia mbili mbele yake na the choice is yours. Hata kama unasukumwa kungonoka, una standards zako ndo maana akikufuata Asprin unajiambia nafsi yako hapana, Eiyer ananitosha. Kama ni malogo ama mapepo, huyo mama ameshapata tiba sahihi ya kiroho na kiakili? Na angekuwa na stori ya kueleweka angeshaioa na mwanae angeielewa. Naamini kuna watu wanapitia stuff lakini na uhusika binafsi pia umo!
Last edited by a moderator: