Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 391
- 579
Wakuu habari za saa hizi...
Naombeni msaada wenu,
Nilikua nabadili taarifa za simu yangu coz mtumiaji anaenda kuwa mwingine nilichokosea ni kucancel kabla sijamaliza kujaza detail ikawa imejilock inawaka tu na kuzima muda wote but nikibonyeza power button na ya kupunguzia sauti inazima ...
Naombeni msaada wenu.
Ni Samsung A10 .
Naombeni msaada wenu,
Nilikua nabadili taarifa za simu yangu coz mtumiaji anaenda kuwa mwingine nilichokosea ni kucancel kabla sijamaliza kujaza detail ikawa imejilock inawaka tu na kuzima muda wote but nikibonyeza power button na ya kupunguzia sauti inazima ...
Naombeni msaada wenu.
Ni Samsung A10 .