Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

Congratulation Simba msimu ujao kombe linarudi Jangwani


...he!he!he! ma-friend Belo bana...? kumbe na weye mchana huwa unaota ndoto? nakushauri kamwone Shekhe Yahya.......
icon10.gif
icon10.gif
icon10.gif
!!!!
 
Kaka endelea kuota....

Sahau ubingwa kurudi Jangwani...tayari wachezaji wenu wameshanza kuomba kusajiliwa Msimbazi ili wakapige soka na Timu kubwa Barani Afrika maana nyie mnishia 1st Round tuu..abu tupu Kanda2..Hatutaki uozo wenu msimbazi tunayo strong youth team...

Wanakaribishwa kwa Moyo Mkunjufu, waachane na Timu inayoongozwa na Viongozi walio jaa Fikra Mgando kama akina Madega. Simba ina utaratibu Mzuri wa Kuwawezesha Vijana kucheza Soka katika Ligi maarufu za Ulaya! Chuji asingeleta Ubishi sasa hivi angekuwa anakula Bata Sweeden, awaangalie akina Boban na Hennry Joseph! Karibuni tu hata wakisugua Benchi lakini si wako kwenye timu kubwaa teh teh teh
 
Wanakaribishwa kwa Moyo Mkunjufu, waachane na Timu inayoongozwa na Viongozi walio jaa Fikra Mgando kama akina Madega. Simba ina utaratibu Mzuri wa Kuwawezesha Vijana kucheza Soka katika Ligi maarufu za Ulaya! Chuji asingeleta Ubishi sasa hivi angekuwa anakula Bata Sweeden, awaangalie akina Boban na Hennry Joseph! Karibuni tu hata wakisugua Benchi lakini si wako kwenye timu kubwaa teh teh teh

Pia Simba inasajili wa tija! Angalia wachezaji wote wa Simba wanaotoka nje ya nchi wako kwenye ''first eleven''. Sio kama Yanga, wanasajili mchezaji kutokana na jina la nchi anayotoka kama Ghana au Cameroun wakati ni garasa!
 
mnyama mnyama mnyama mnyama mnyama mnyama mnyama mnyamnyama ma mnyama mnyama mnyama mnyama mnyama aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Tuombe mungu ili kesho mnyama aendee kuji nafasi maana ndiyo kidume kilicho baki Africa Mashariki ni mwaka wa Mnyama...lazima Lengthens tuwauwe....Mungu ibariki Simba, Mungu ibariki Tanzania....
 
Inshallah mungu atatusaidia.nimewasili harare leo na timu iko ktk hali nzuri pamoja na wenyeji kutufanyia njama mambo ni safi.kassim na mulamu wanahakikisha kila kitu ipo as plan.mtandao iko sllow lakini tutajaribu kuweka matokeo humu.
 
SMP tujuvye na tutiane moyo kuendeleza umoja wetu......tukumbuke simba ni "UMOJA NI NGUVU"
 
Simba Taifa kubwa. Smp usiache kutudondoshea vya kutufaa hapa sebuleni kwetu pa kujidai
 
Mko wengi sana hongereni wengine sisi ni watani zenu wa jadi

The Following 26 Users Say Thank You to nyani<abiziani> For This Useful Post: BelindaJacob (24th February 2010), Chrispin (3rd March 2010), Cynic (31st January 2010), De Novo (24th January 2010), ICU (13th March 2010), jacobae (28th February 2010), Janjaweed (12th February 2010), jmushi1 (31st January 2010), Kakalende (1st February 2010), KIWAVI (27th January 2010), Lighondi (24th February 2010), Mafuluto (31st January 2010), Masika (21st February 2010), matambo (9th February 2010), Mbu (14th March 2010), Mfumwa (7th March 2010), Mkorintho (Today), MzeePunch (23rd January 2010), Ndege ya Uchumi (23rd January 2010), Patrick Nyemela (13th March 2010), Roya Roy (27th January 2010), Sabasaba (24th January 2010), Sinkala (15th March 2010), Sipo (1st February 2010), Tripo9 (24th January 2010), Tumain (21st February 2010)
 
Leo wazimbabwe ni wa kukomalia wakuu.....tutawakilisha nchi vema.
 
Inshallah mungu atatusaidia.nimewasili harare leo na timu iko ktk hali nzuri pamoja na wenyeji kutufanyia njama mambo ni safi.kassim na mulamu wanahakikisha kila kitu ipo as plan.mtandao iko sllow lakini tutajaribu kuweka matokeo humu.

Mechi ni leo nilifikiri ni keshi tutafurahi tykipata updates wazee
 
Tuendelee kupashana wakuu juu ya Mtanange wa Leo! Hope wana Msimbazi watatutoa Kimasomaso Watanzania
 
Kila la heri watani...Halafu iweje msijue updates za mechi mpaka dakika hii?...Kma vp chekini na Cliford Ndimbo bana,yeye si ndo Afisa Habari?
 
Ebwana tumbo linauma kwa kusubili jamani. Tupashane habari vp tumekosa kabisa mawasiliano na zimbabwe.
 
Ebwana tumbo linauma kwa kusubili jamani. Tupashane habari vp tumekosa kabisa mawasiliano na zimbabwe.

Kwa mujibu wa Cliford Ndimbo, dakika ni ya 33 kipindi cha kwanza, matokeo bado ni bila bila!
 
Back
Top Bottom