TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,155
- 11,558
hivi itakua vipi tukiwapanga simba kids hiyo mechi na kandambili??Ha ha haaaa hiyo itakuwa Mechi ya Kujipima Nguvu Mkuu hatuwawazi Vibonde Yanga sasa Macho ni Harare tukale vichwa kwenye Medani za Kimataifa