Getwa Anicet Ally
Member
- Jan 13, 2012
- 46
- 11
Ule ni mkutano wa moja ya chama kikongwe na kikubwa barani Afrika; walikuwepo wanadiplomasia kutoka nchi kadhaa; Dr Slaa hawezi mikutano kama ile amezoea kusimama kwenye majukwaa kusema uzushi na uwongo; game ya Kizota kubwa ni wachezaji mahiri wenye viwango vya kina Lionel Messi; cristiano Leornado, Ibrahimovic tu wenye uwezo wa kusimama kwenye mikutano ile na kusema maneno ya hekim; Dr. Slaa kiwango chake ni Mrisho Ngassa hapawezi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Dr slaa anakunyima usingizi kabisa! Du huyu dr wa ukweli ni jembe, mwisho wa siku mtaanza kujichekesha chekesha kwake. Time will tell.