Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
mimibaba hebu chambua tuone mkuu
Mimi nina hasira sifai kuchambua kitu ninacoweza kuingiza matusi. Nitakugongea like ukipatia
mimibaba hebu chambua tuone mkuu
mimi nina hasira sifai kuchambua kitu ninacoweza kuingiza matusi. Nitakugongea like ukipatia
Niliposoma heading nikajua Chadema wamemfukuza Shibuda kumbe maigizo tu...Chadema hawana ubavu wa kumfukuza Shibuda hata siku moja Shibuda ni Kamanda sio diwani wa Arusha utamfukuza kwa barua.
Hajui kusoma maandishi ukutani
Una mawazo mazuri sana, Chama Wa Gongo La Mboto, lakIni punguza chuki kwa binadamu wenzako. Inaonesha unamchukia Dr Slaa kwa kiwango kikubwa kuliko hata unavyomchukia shetani na mambo yake! Uwe unatufahamishe, ni wapi hasa Dr Slaa amesema uwongo? Labda ni pale Mwembe Yanga alipotoa ile List Shame? Au wapi, ili na sisi tunaotumia vichwa kufikiri uweze kutunasa, utazidi kushangaa Slaa na CDM wanazidi kupata followers pamoja na propaganda zako zoote!Ule ni mkutano wa moja ya chama kikongwe na kikubwa barani Afrika; walikuwepo wanadiplomasia kutoka nchi kadhaa; Dr Slaa hawezi mikutano kama ile amezoea kusimama kwenye majukwaa kusema uzushi na uwongo; game ya Kizota kubwa ni wachezaji mahiri wenye viwango vya kina Lionel Messi; cristiano Leornado, Ibrahimovic tu wenye uwezo wa kusimama kwenye mikutano ile na kusema maneno ya hekim; Dr. Slaa kiwango chake ni Mrisho Ngassa hapawezi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Akifukuzwa,AMEONEWA!!
Akiachwa,AMEOGOPWA!!