Siku ya kweli aliyokufa Mwl J K Nyerere

Kwa hiyo hawa wanaotamba wameishi miaka 132 watakuwa wameishi masaa mangapi kwa mujibu wa hesabu za Mungu? let's share experience ingawa ni za kibinadamu!
 
ni kweli, na hata katika mitandao hawaweki up-dates zao waisrael hawaonyeshi hali yake ikoje kwa sasa, ingawa kuna wakati familia yake ilisema haitazungumzia hali yake tena maana ni almost keshakufa
 
Gazeti la Raia Mwema leo limechapisha toleo maalumu lenye habari mbili kwanza inasema wasomi wanahoji kwa nini Mwalimu Nyerere ananyimwa tuzo ya nobeli huku Ellen Rais wa Liberia amepata na pia kuna habari inasema Nyerere alifariki kabla ya Oktoba 14. Kubwa zaidi kuna makala ya Jenerali Ulimwengu inayosema "Nyerere tofauti na majambazi wanaojiita wakuu wa nchi. Nimesikia kwenye redio linasomwa. bado sijaamka kwenda mtaani kununua lakini ambaye analo atujuze zaidi kuhusu articles hizo jamani.
 
Alifariki kuanzia october 5, wakanyamaza ili kapteni komba atunge nyimbo za maombolezo, mafisadi walishangilia baada ya kifo cha baba wa taifa, hakuna fisadi anaye sikiliza hotuba za mwalimu kwenye tbccm kwani hotuba hiyo wameiweka ili wasikilize makabwela, R.I.P julius.k.nyerere kama kazi uliifanya na imeonekana lakini rostam uliyemkataa ndie anaye control ikulu mpaka sasa
 
sitashangaa kama 14th haikuwa yenyewe.
Anyway, kama ilikuwa natural death hakuna shida.
 
Sasa naomba kueleweshwa machache hapa:
1. Kombakomba alitunga saa ngapi nyimbo hizo?Au alianza mazoezi wakati mwalimu amezidiwa akijua la mbeleni?
2. Tofauti ya clinical na biological death
3. Tetesi kwamba walipanga kumuua nyerere nilizisikia pia. Je ndio kisa ufisadi wa kutisha ulianza baada tu ya kufa mpinga rushwa na ufisadi Nyerere?.
 
Hakuna majibu ya maswali mepesi mepesi hapa tz. Mwacheni apumzike maana mavumbi huirudia ardhi.
 
Habari za humu ndani wanajamvi? ashakumu si matusi; nimemua kuleta mada hii kama tafakuri binafsi na kwa ajiri ya utafiti zaidi ili nipate kuelewa na kuondoa utata nilionao. mwaka ambao baba wa taifa alitutoka (1999) nilikuwa darasa la sita. nakumbuka kabla tarehe ya kifo chake kutangazwa yaani 14/10/1999 yapata kama wiki mbili kabla hivi tulitangaziwa kuwa baba wa taifa yu mahututi anapumulia mashine ila kilichonishangaza zaidi ni pale baada ya kifo chake tu kutangazwa hapo hapo komba na bendi yake walianza kuimba nyimbo za kumuenzi.swali la kujiuliza alitunga saa ngapi na aliwafundisha saa ngapi wafuasi wake mpaka waweze kuimba? maswali hayo ndiyo yanayonifanya niamini kuwa tarehe 14/10/1999 ni tarehe ambayo kifo cha baba wa taifa kilitangazwa ila alikufa kabla ya hapo.
NB. NI MTAZAMO WANGU NAOMBA MITAZAMO YENU PIA KATIKA UHALISIA WA HILI TUKIO.
 
Kumbe ni mtazamo tu mtazamo wangu ni kwamba walikuwa wanajiandaa kwa lolote ata angepona kwa taarifa yako tayari kulikuwa na wimbo wa kushukuru kupona kwake.
 
JKN Nyerere hakufa natural Death! a Moment alipoenda kupima afya yake St. Thomas UK... Makuwadi wa Mabeberu chini ya Mkapa waliandaa kila kitu kuhakikisha kuwa Baba wa Taifa harudi hai! Rejea Jarida Maarufu la Economist 1998 "Tanzania After Nyerere" ... Conspiracy iko wazi hadi kwenye Ulipuaji wa Balozi za US Dar es Salaam na Nairobi Kenya! Baada ya Nyerere Base ya USA ilihamishiwa Dar es Salaam... Sera za Madini, Sera za Fedha na Ubinafsishaji viliratibiwa vizuri sana an Agent wao Ballali chini ya Mkapa... RIP Mwalimu ... we are done as a Nation ....
 
Habari za humu ndani wanajamvi? ashakumu si matusi; nimemua kuleta mada hii kama tafakuri binafsi na kwa ajiri ya utafiti zaidi ili nipate kuelewa na kuondoa utata nilionao. mwaka ambao baba wa taifa alitutoka (1999) nilikuwa darasa la sita. nakumbuka kabla tarehe ya kifo chake kutangazwa yaani 14/10/1999 yapata kama wiki mbili kabla hivi tulitangaziwa kuwa baba wa taifa yu mahututi anapumulia mashine ila kilichonishangaza zaidi ni pale baada ya kifo chake tu kutangazwa hapo hapo komba na bendi yake walianza kuimba nyimbo za kumuenzi.swali la kujiuliza alitunga saa ngapi na aliwafundisha saa ngapi wafuasi wake mpaka waweze kuimba? maswali hayo ndiyo yanayonifanya niamini kuwa tarehe 14/10/1999 ni tarehe ambayo kifo cha baba wa taifa kilitangazwa ila alikufa kabla ya hapo.
NB. NI MTAZAMO WANGU NAOMBA MITAZAMO YENU PIA KATIKA UHALISIA WA HILI TUKIO.

Hebu ushughulishe kidogo ubongo wako kufikiri!! Hebu tutafakari sasa>-

-Wiki mbili kabla ya kifo anapumulia mashine
-Madaktari walitambua ukimwondolea mashine, moyo unasimama na ndiyo mwisho wa uhai wake
-Familia ililidhia mashine zizimwe kwa mgonjwa wao maana hakukua na kuokoa maisha yake tena
-Kwa tamaduni zetu taarifa za msiba hazitolewi tu kiholela, mpaka uhakikishe unapozitoa kila kitu kipo kwenye order..
-Hata wewe ukifiwa na mtu wako wa karibu, watu hawawezi kukurupuka tu kukwambia, lazima wajirdhishe kama akili yako iko sawa na unaweza kuhimili taarifa hizo.

Nadhani kwa sasa si muhimu kujua Nyerere alikufa lini, labda ningekuelewa ungehoji chanzo na sababu za kifo chake ili tujue kama kweli it was a natural death!!.. So far tutumie muda huu kujitathmini kama Nyerere angekuwepo, CCM ingechakachua Katiba yetu, Mafisadi wangekiteka nyara chama chake, tembo wetu wangeuwawa hovyohovyo, vipi madini na gesi yetu ingetumikaje, Viwanda alivyoanzishwa vingekuaje?

Hayo ndo mambo ya msingi ya kuyatafakari
 
Ukweli hauwezi funikwa siku zote. Ni kama kuuzuia moshi kwa kawa.

Kama vile kuvuja kwa taarifa za mipango na utekelezaji wa kumwua Nyerere kulivyokuwa, kisha kuibukia 2012 kwa uwazi zaidi. Ndivyo tarehe rasmi ya kufariki inapojulikana.

Nyerere alifariki tarehe 7 Oktoba 1999.

Tarehe nyingine ni danganya toto. Ukweli unasema, huwezi kuwadanganya watu wote kwa nyakati zote. Ndicho serikali iliyoongozwa na B W Mkapa ilichofanya.

Kumbe alikufa lakin??ok gd
 
JKN Nyerere hakufa natural Death! a Moment alipoenda kupima afya yake St. Thomas UK... Makuwadi wa Mabeberu chini ya Mkapa waliandaa kila kitu kuhakikisha kuwa Baba wa Taifa harudi hai! Rejea Jarida Maarufu la Economist 1998 "Tanzania After Nyerere" ... Conspiracy iko wazi hadi kwenye Ulipuaji wa Balozi za US Dar es Salaam na Nairobi Kenya! Baada ya Nyerere Base ya USA ilihamishiwa Dar es Salaam... Sera za Madini, Sera za Fedha na Ubinafsishaji viliratibiwa vizuri sana an Agent wao Ballali chini ya Mkapa... RIP Mwalimu ... we are done as a Nation ....

nakuunga mkono 100%
 
Hujui mifumo yoyote inayoongoza dunia. Ukikubali alikufa tar14 unakufa? Kwani wewe unajua yesu alizaliwa lini,mbona unasherehekea tar 25 na hujawahi kuuliza.
 
Umekuaje hajafanya research? Binafsi sijui mwalimu alifariki lini ila najua kifo chake kilitangazwa tarehe 14 October. Kama angekuwa amefariki tarehe 14 iweje nyimbo za kina Komba zianze kupigwa radioni immediately dakika chache baada ya Mkapa kutangaza kifo chake?
Mkuu, nionavo wengi tunashindwa kutofautisha kati ya kifo cha mtu mashuhuri/maarufu na cha mtu wa kawaida tu. Kumbukumbu zangu bado zinakubaliana na mtoa mada.
 
NAkumbuka kipindi hicho nilikuwa na miaka kama 10 lakini dakika chache kutoka kifo kilipotangazwa komba alikuwa hewani akiomboleza kwa nyimbo zenye simanzi kubwa,tatizo hapa siyo kutangaza msima Oct.14 tatizo ni kwa kama taifa lenye viongozi waadilifu wadiuambie umma ukweli kuwa nyerere alikufa link na kifo kilitangazwa lin
 
Back
Top Bottom