Siku ya kweli aliyokufa Mwl J K Nyerere

Aliyeambiwa auelezee umma uelewe kwa nini Nyerere alienda UK akitembea akarudi maiti,Mzee Nkapaa huko Arumeru alishindwa kujitetea PAMOJA NA UWEZO MKUBWA WA KUJIELEZA!Nyimbo zile za Komba na KWAYA fulani dakika 5 baada ya Mheshimiwa Rais kutangaza habari ya msiba,nyimbo zenye notation nzuri na zilizopangika kimuziki ni kazi iliyochukua siku walau 3 za zoezi la nguvu.Besides,Kingunge alitumwa UK kudhibiti utoaji wa taarifa za ugonjwa wa MWALIMU.Ninyi magwiji wa clinical death na biological death mnakumbuka saa 12 alfajiri siku RAIS ALIPOONA NI VYEMA KUTUJUZA Mwalimu amelala mautini baada ya kushauriwa na KINGUNGE, alfajiri kwenye AMKA NA BBC Makongoro Nyerere alisemaje?
Ni vizuri tutafunguka na kutambua tabia ya viongozi wetu hapa Tanzania ya kudanganya wananchi!Inasaidia kumjua mwongo, mwizi,fisadi,mkware,na watu woote wa aina hiyo lil kuziba mianya usifanywe ***** mara mbili.Kwa mfano ukiwasikia wanasema uchumi unakuwa kwenye majukwaa ya siasa usishangilie tu uulize mbona ukweli siyo huo?

hiyo ya amka na bbc hata mimi nilisikia kijana wake alivyojichanganya akatiririka taarifa.....
 
Back
Top Bottom