Siku ya kweli aliyokufa Mwl J K Nyerere

Mtu wa kwanza kuishi masha marefu ni Methusela...huyu jamaa aliishi miaka 969. Hakufikisha miaka 1000 kwa sababu miaka hiyo elfu moja kwa Mungu ni sawa na siku moja. Hivyo hakuna mwanadamu aliyeishi mwaka mmoja (kibiblia) kwani Mungu alimwambia mwanadamu siku utakayotenda dhambi ndiyo utakayokufa. Hivyo mwanadamu alitenda dhambi kabla ya kumaliza siku moja....Hongera mdau.
 
Wala hilo halisaidii lolote hata kama alifariki siku hiyo hiyo alipolazwa Hospitalini haiwezi kuubadili ukweli kwamba kwasasa ni Marehemu!!!!
kwani mwalufunamba amekataa si marehemu.....swala lenye utata hapa ni tarehe ya kifo chake
 
Eti ni kweli Sokoine alipigwa risasi na bodigadi wake? na eti familia haijaruhusiwa kuona majeraha kama ingekuwa ajali chanzo cha kifo chake? eti hilo swala lilikuwa limeratibiwa tu na mwenyewe nyerere (mi nampenda sana Baba wa Taifa) eti Bodigadi huyo anaitwa Kizota na ni Mmasai mweupe mrefu ambae kwa sasa anazo Bar Daressalaam na nyumba Masaki? mimi nimelewa hapa pemba nikiwa kazini ndio maana nina maswali mbuzi.
sababu ilikuwa nini
 
kwani kuna ubaya gani kuamini mwl Nyerere alikufa tarehe 14 october 1999?
Mbona mleta mada unaamini YESU KRISTO alizaliwa tarehe 25 dec(chrismas)miaka 2000 iliyopita japo si tarehe ya kuzaliwa kwake!?
kuwa na imani mkuu....
mkuu hili si swala la imani..kwenye imani waamini wanaamini hata vitu ambavyo wakati mwingine havina ukweli katika uhalisia
 
So what? ikiwa kafa tarehe 7 au 8 au 9 au 10 au 100 inasaidia nini?
 
mkuu hili si swala la imani..kwenye imani waamini wanaamini hata vitu ambavyo wakati mwingine havina ukweli katika uhalisia

kwani imani chanzo chake ni nini? chanzo cha imani ni kusikia kwa kuambiwa!
 
So what? ikiwa kafa tarehe 7 au 8 au 9 au 10 au 100 inasaidia nini?

watu wanahitaji ukweli na sio kila siku mama akitoka hospitali ukimuuliza huyo mtoto umempata wapi utasikia huyu nimepema hospitali au nimemuokota.
 
Ninavyokumbuka, gazeti la majira la Oct 12, 1999, liliandika:
"Mwalimu Ubongo Umekufa"
Nikiwa mwanafunzi wa Sayansi kipindi hicho, nilitambua kuwa Brain death means absolute death of a being, maana ubongo ndo unaendesha kila kitu mwilini, hadi moyo(hata km utausukuma kwa mashine).
Hivyo kwangu, Mwl alishakufa tangu Oct 11 na kurudi nyuma.
Tulikuwa tunaandaliwa kisaikolojia kupokea msiba ule mkuu!

whether we like or not huo ndio ukweli wenyewe.
 
Strange sana. Watu wanajazba simply because of uncalled for emotions za kufa Mwalimu. Mleta mada anataka kuweka historia staight na irekebishwe pamoja na kwamba hawawezifanya hivyo. Right history means right future. Maana halisi ya ujumbe huu ni kwamba Tz hatuongei ukweli hata kwa vitu vilivyo wazi. Ni nani kati yetu asiyeona jinsi watawala wanavyoweza kusema jambo hadharani na baada ya nusu saa baadae wanakanusha ? Why? Je uongo hauna maana yo yote kwenye maisha yetu?

Kama Mkapa aliaminiwa na akawa Rais wetu why should he cheat on us. Kwani angesema alikufa tarehe saba lakini kwa sababu za kiitikadi na usalama hakutangaza anagelaumiwa? ye yote aliyetoa comment kwamba thread hii haina maana kwa sababu haibadilishi ukweli kwamba Mzee alikufa must think deeply au ndio magamba wenyewe wanaokurupuka kabla ya kufikiri. Kwa taarifa Mkapa was behind it and never said any truht because he wanted to cheat the world that he was innocent. Kama kuna mtu humu anayeweza kumtetea Che Mkapa na aje na hizo facts zake tuzijadili. Sio ajabu tunaishi kama vile tumelaaniwa just because we support the muderers of the first patriot father of this nation.

Na huyo JK has never mention Nyerere's name kwa sababu anazozijua yeye na Mkapa. Muuaji atabaki muuaji na roho zao hazitatulia kamwe hata kama kiongozi huyo alikuwa na makosa yake kibinadamu, na ambayo ailkiri pia, he desrved to live. Mkapa is a killer prima facie and we live on that curse todate.
 
Kuna dalili za watu kukosa kazi kama huna mada yenye mashiko acha wenye nazo walete sio unaleta kashfa, haya kama alikufa tarehe 7 au 14 we unapungukiwa nini au kufaidi nini? kama cku ya kupumzika ni moja na itaendelea kuwa moja. JE ASINGEKUFA USINGEPUMZIKA? acha habari zako.
 
Kuna dalili za watu kukosa kazi kama huna mada yenye mashiko acha wenye nazo walete sio unaleta kashfa, haya kama alikufa tarehe 7 au 14 we unapungukiwa nini au kufaidi nini? kama cku ya kupumzika ni moja na itaendelea kuwa moja. JE ASINGEKUFA USINGEPUMZIKA? acha habari zako.

embu wewe weka mada yenye mashiko tuijadili.
 
watu wanahitaji ukweli na sio kila siku mama akitoka hospitali ukimuuliza huyo mtoto umempata wapi utasikia huyu nimepema hospitali au nimemuokota.

Kama Serikali waongo basi hata mama Maria nae muongo?
 
una uhakika upi?give relevant evidence na ikiwezekana za kisayansi zaidi- maana unajadili issue muhimu na pia ya mtu muhimu zaidi kuliko Wtz wote
 
Back
Top Bottom