Mimi ni nadra sana kupata PM. Nadhani watu wananiogopa.
Mimi ni nadra sana kupata PM. Nadhani watu wananiogopa.
Mimi ningependa kuziona za kwako.Lol.....I'll be right back after a short commercial break.
Kama mimi nna picha yako niloijenga kichwani kwangu, duuu! Huwa najisemea kama NN ni baba mwenye mke na watoto basi huyo mke na watoto kazi wanayo, manake kuwa na mume au baba mkali kama wewe yataka moyo aisee, hivyo inaezekana picha yangu iko sahihi.
Usinigombeze tafadhali ni hisia zangu ndio zinavyokuona hivyo!
Za kwangu zimeishaanza kuongea...Mimi ningependa kuziona za kwako.
Kama mimi nna picha yako niloijenga kichwani kwangu, duuu! Huwa najisemea kama NN ni baba mwenye mke na watoto basi huyo mke na watoto kazi wanayo, manake kuwa na mume au baba mkali kama wewe yataka moyo aisee, hivyo inaezekana picha yangu iko sahihi.
Lizzy, dont assume. Inaelekea hujui criminology unaongelea sociology tu.
Kama nisingekua mmoja wa wanaotuma na kupokea PM ndo ningekua naassume.
Hamna chochote cha ajabu. . . yake yale tu tuliyozoea.
Lol....KongoshoHa ha ha ha, TF i understand u well
Kwani PM ni kitu gani?