Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Kwani PM ni kitu gani?
private message
Kwani PM ni kitu gani?
kwani watu wanatunza pm zao!?
Si kutunza tu, tuna-archive na kuprint for further reference.
tunatunza ndio kwa ukumbusho. Lol
Mimi nimezi-print nimezibandika ukutani na mlangoni..tunatunza ndio kwa ukumbusho. Lol
Si kutunza tu, tuna-archive na kuprint for further reference.
Piga MayowePm ndio nini?
Piga Mayowe
Hahaha! Atajaza watu mwenzio.Piga Mayowe
Lol, coolest daddy ever??? Mh...labda....Ahahahahahaaaaaaaaa....daaaah kumbe mi mkali eeeh?
I am the coolest daddy ever....ask both of my daughters and they will tell you.
Mimi nimezi-print nimezibandika ukutani na mlangoni..
ukumbusho wa nini tena?
Mimi nimezi-print nimezibandika ukutani na mlangoni..
Khaaa! Mwalimu gani unampiga mkwara mwanafunzi? Lolwa members wakibadili ID. (kama hujaelewa sifafanui). Lol