Siku PM zikiongea

Mimi nimeziweka kwenye fail humu humu lakini nimeliwekea password. Vile vile nimehifadhi kopi kwenye usb, just in case. Nyengine nimechapisha kwa herufi kubwa na kupachika pembeni ya kitanda, na mbili tatu ninatembea nazo mfukoni kama hirizi - lol!
 
Back
Top Bottom