Siku PM zikiongea

based ona imagination.

Siku PM za watu wote zikiwekwa wazi itakuwaje?
Ni pm za akina nani utataka kuzipitia kwaza, top 3
na unadhani nani hatapenda kabisa hiyo idea?

Mie ntapenda kuona za washawasha, bujibuji na rejao, nahisi ntacheka sana.

mimi ningependa za:
1. Kibweka.
2. Kimpanga ampiga mkoloni.
3. Funza dume.
 
Back
Top Bottom