Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
hah haha
do it
:A S-alert1::A S-alert1:
hah haha
do it
kumbe sivyo?Ndugu yangu nakupa pole. Katika maelezo yako mafupi, nahisi huyo mke umemwoa kwa sababu ya muonekano wake wala hamjajuana vya kutosha. Pengine katoka ktk familia well off na hayajui hayo unayfikiria kama mke lazima ayajue.
Pia nahisi wewe ktk mawazo yako mke ana jukumu ya kukufanyia yafuatayo
A. Akupikie
B. Akupigie pasi nguo za kazini
C. Akupigie brush viatu
D. Akufulie ngyo
E. Akutandikie kitanda
F. Akupokelee wageni kwa heshima na taadhima
G. Akufanyie usafi wote wa nyumba
H. Akupe manjonjo pale unapoyahitaji
I. Asikuulize swali maaana maamuzi yako ni ya mwisho
J.akuandalie staftahi pamoja na kukukorogea chai na kukuleetea pale ulipokaa
K. Akupakulie chakula na kukuletea pale ulipokaa
L. Akupelekee maji ya kuoga bafuni
M. Ahakikishe mtoto amekula na kadhalika
In short, tafsiri yako ya mke haijakamilika kama hajakufanyia hayo na pengine mengine zaidi ya hayo. Mlipokuwa wachumba hamkuyaongelea haya? Haukumweleza matarajio yako kuhusu majukumu yake? Je yeye alikwambia matarajio yake kwako?
Pengine mama mkwe kakuangalia wewe na mamekusoma wewe ni mwanaume wa aina gani ndio maana nanahangaika na wewe.
Nadhani hii ni nafasi nzuri ya wewe kuongea na mkeo ila kama she was not raised to be 'someones's wife' basi ujue hali yako ni tete maana unahitaji 'mke' na siyo mwenza.
Pole sana. Ndio kilimwengu
Ndugu yangu nakupa pole. Katika maelezo yako mafupi, nahisi huyo mke umemwoa kwa sababu ya muonekano wake wala hamjajuana vya kutosha. Pengine katoka ktk familia well off na hayajui hayo unayfikiria kama mke lazima ayajue.
Pia nahisi wewe ktk mawazo yako mke ana jukumu ya kukufanyia yafuatayo
A. Akupikie
B. Akupigie pasi nguo za kazini
C. Akupigie brush viatu
D. Akufulie ngyo
E. Akutandikie kitanda
F. Akupokelee wageni kwa heshima na taadhima
G. Akufanyie usafi wote wa nyumba
H. Akupe manjonjo pale unapoyahitaji
I. Asikuulize swali maaana maamuzi yako ni ya mwisho
J.akuandalie staftahi pamoja na kukukorogea chai na kukuleetea pale ulipokaa
K. Akupakulie chakula na kukuletea pale ulipokaa
L. Akupelekee maji ya kuoga bafuni
M. Ahakikishe mtoto amekula na kadhalika
In short, tafsiri yako ya mke haijakamilika kama hajakufanyia hayo na pengine mengine zaidi ya hayo. Mlipokuwa wachumba hamkuyaongelea haya? Haukumweleza matarajio yako kuhusu majukumu yake? Je yeye alikwambia matarajio yake kwako?
Pengine mama mkwe kakuangalia wewe na mamekusoma wewe ni mwanaume wa aina gani ndio maana nanahangaika na wewe.
Nadhani hii ni nafasi nzuri ya wewe kuongea na mkeo ila kama she was not raised to be 'someones's wife' basi ujue hali yako ni tete maana unahitaji 'mke' na siyo mwenza.
Pole sana. Ndio kilimwengu
@Magulumagu
Ninavyokujua mimi.... huwa post zako zina maana ndani ya maana ndani ya maana.........
Ndugu yangu nakupa pole. Katika maelezo yako mafupi, nahisi huyo mke umemwoa kwa sababu ya muonekano wake wala hamjajuana vya kutosha. Pengine katoka ktk familia well off na hayajui hayo unayfikiria kama mke lazima ayajue.
Pia nahisi wewe ktk mawazo yako mke ana jukumu ya kukufanyia yafuatayo
A. Akupikie
B. Akupigie pasi nguo za kazini
C. Akupigie brush viatu
D. Akufulie ngyo
E. Akutandikie kitanda
F. Akupokelee wageni kwa heshima na taadhima
G. Akufanyie usafi wote wa nyumba
H. Akupe manjonjo pale unapoyahitaji
I. Asikuulize swali maaana maamuzi yako ni ya mwisho
J.akuandalie staftahi pamoja na kukukorogea chai na kukuleetea pale ulipokaa
K. Akupakulie chakula na kukuletea pale ulipokaa
L. Akupelekee maji ya kuoga bafuni
M. Ahakikishe mtoto amekula na kadhalika
In short, tafsiri yako ya mke haijakamilika kama hajakufanyia hayo na pengine mengine zaidi ya hayo. Mlipokuwa wachumba hamkuyaongelea haya? Haukumweleza matarajio yako kuhusu majukumu yake? Je yeye alikwambia matarajio yake kwako?
Pengine mama mkwe kakuangalia wewe na mamekusoma wewe ni mwanaume wa aina gani ndio maana nanahangaika na wewe.
Nadhani hii ni nafasi nzuri ya wewe kuongea na mkeo ila kama she was not raised to be 'someones's wife' basi ujue hali yako ni tete maana unahitaji 'mke' na siyo mwenza.
Pole sana. Ndio kilimwengu
Yote umeandika ambayo nimesema mie nililelewa katika familia maskini na kufundishwa kila kitu Bi mkubwa, wakati tunakutana narudia tena, nilikuwa namfanyia kila niwezalo ili afurahie, sikuoa mfanyakazi ila mke na ubavu wangu wa kulia, sijaona mie usumbufu kufua nguo zake na zangu ingawa kuna mfanyakazi maana naamini ni moja ya mazoezi kwangu so kila nifanyalo home naamini is just a sport na nalifulahia nilifanyalo, napika, nanyosha nguo zake na zangu pia, kitanda sioni ajabu kutandika, hata yeye namtandika pia tukiridhiana, UMENISOMA nimesema Mama mkwe anaona kama nafanya kazi zisizokuwa zangu pindi wajapo home kwetu....We walk sometimes around jambo ambalo wanaume wengi hawapendi.....
Kumbe kinachokukera ni mama mkwe? Huyo sasa asiwaaingilie maisha yenu. Kama nyie mumekubaliana kufanya hivyo mnavyoishi mwambie mwanaye amwambie mama awaache kama mlivyo.Yote umeandika ambayo nimesema mie nililelewa katika familia maskini na kufundishwa kila kitu Bi mkubwa, wakati tunakutana narudia tena, nilikuwa namfanyia kila niwezalo ili afurahie, sikuoa mfanyakazi ila mke na ubavu wangu wa kulia, sijaona mie usumbufu kufua nguo zake na zangu ingawa kuna mfanyakazi maana naamini ni moja ya mazoezi kwangu so kila nifanyalo home naamini is just a sport na nalifulahia nilifanyalo, napika, nanyosha nguo zake na zangu pia, kitanda sioni ajabu kutandika, hata yeye namtandika pia tukiridhiana, UMENISOMA nimesema Mama mkwe anaona kama nafanya kazi zisizokuwa zangu pindi wajapo home kwetu....We walk sometimes around jambo ambalo wanaume wengi hawapendi.....
ahh nw nimekupata
kumbe wewe HAIKUKERI bali wamshangaa mama mkwe kwa anavyomuhurumia bnt yake kwa swaga unazomfanyia na anavyobweteka..
MANDHARI WEWE MWENYEWE UMERIDHIA BAS HAINA MBAYA..usijali wa pemben
Kumbe kinachokukera ni mama mkwe? Huyo sasa asiwaaingilie maisha yenu. Kama nyie mumekubaliana kufanya hivyo mnavyoishi mwambie mwanaye amwambie mama awaache kama mlivyo.
Kuhusu mimi kuwa na mume, ninaye tena wa miak zaidi ya kumi na sita. We are happy and life goes on. He does his thing I do my thing and we do it to the best of our abilities.
Ndoa yenu bado changa take time to learn from each other. Na wala usimruhusu huyo mama mkwe kuwafanya mfikirie otherwise.
Uzuri unapalilia ndoa. Ila ninachoona hapa pia hufurahii tabia ya mkeo kukuachia kazi ufanye wewe tu na yyeye anakuwa kama hajali.
Kumbe kinachokukera ni mama mkwe? Huyo sasa asiwaaingilie maisha yenu. Kama nyie mumekubaliana kufanya hivyo mnavyoishi mwambie mwanaye amwambie mama awaache kama mlivyo.
Kuhusu mimi kuwa na mume, ninaye tena wa miak zaidi ya kumi na sita. We are happy and life goes on. He does his thing I do my thing and we do it to the best of our abilities.
Ndoa yenu bado changa take time to learn from each other. Na wala usimruhusu huyo mama mkwe kuwafanya mfikirie otherwise.
Uzuri unapalilia ndoa. Ila ninachoona hapa pia hufurahii tabia ya mkeo kukuachia kazi ufanye wewe tu na yyeye anakuwa kama hajali.
lazima mkeo amemwambia mambo mama yake na anashindwa afanyaje zaidi ya kujitahidi kukuangalia kwa huruma na labda bado anaongea nae abadilishe mawazo
hivyo jaribu kuongea namkeo ujue tatizo lipo wapi
anaweza kuwa anampenda mtu mwingine au unsyoyafanya na hafurahii
kulala na wewe sio hoja kila mtu anahitaji hilo na sio kazi kumpa mme au mke
kuna tatizo nashangaa unafikiria kama mama mkwe anakutaka unashangaza kijana fungua macho
Halafu wewe Rose una akili sana, vipi jamaa yako anafanya hii mambo kama mimi? Je, na over doo kudekeza DODO langu na mama ake ana u halali wa kuona hayoyote? mie naogopa if am gone asije pata taabu my TUNDA...
Generation dot com aftermathKatika kufikiria mwanamke Halisi wa Kiafrica dhahili hujua nini mmewe amfanyie au nini nyumba yake inataka, sasa hapa, mie mwenzenu mama mkwe ndo amekuwa na wasiwasi wa ndoa yangu kati yangu na mke wangu zaidi ya mke wangu, sina maana mama mkwe anataka nimchakachue hapana, Baba mkwe yupo na wanapendanan sana, Nilishagawahi kutaka kumuuliza/ au kuwauliza Mbona mwanenu hajui umuhimu wa Mimi? nikaona ni swali la wanaume suruali hili, Nimejaribu kumwezesha ajue nafasi yake kwangu na yangu kwake lakini bado tu, Tunapeana tunda kama kawa lakini hilo si definition la mapenzi tosha, ni nyama katika skeleton, Huyu bibie hajui kabisa maana ya mume hivyo kupelekea Mama Mkwe wangu kuwa na wasiwasi na ndoa yetu kuliko bibie, au ndo UKUBWA DAWA?
Yote umeandika ambayo nimesema mie nililelewa katika familia maskini na kufundishwa kila kitu Bi mkubwa, wakati tunakutana narudia tena, nilikuwa namfanyia kila niwezalo ili afurahie, sikuoa mfanyakazi ila mke na ubavu wangu wa kulia, sijaona mie usumbufu kufua nguo zake na zangu ingawa kuna mfanyakazi maana naamini ni moja ya mazoezi kwangu so kila nifanyalo home naamini is just a sport na nalifulahia nilifanyalo, napika, nanyosha nguo zake na zangu pia, kitanda sioni ajabu kutandika, hata yeye namtandika pia tukiridhiana, UMENISOMA nimesema Mama mkwe anaona kama nafanya kazi zisizokuwa zangu pindi wajapo home kwetu....We walk sometimes around jambo ambalo wanaume wengi hawapendi.....
mama yangu ndo alinilea vibaya mi naona, maana asingenizoesha kufanya yote hayo kungekuwa vingine, nakumbuka siku moja nilipoanza kumdate bibie alinambia eti mie gentle kila mwanamke atataka kuwa na mimi...
Hivi kale kakikao kenu ka wakati ule Kabeijing mnakasahau au inakuwaje?....Ujue mie wakati tupo gf na bf nilikuwa nafanya almost kila kitu, sasa naona bado anajiona anadeka kwangu na pia mie nililelewa sijui vibaya na mamaaa maana kila kazi napenda kufanya home, nafua, nadeki, nanyooosha nguo yaani sioni hatari....je nilimwendekeza au?? Nikiacha ghafla si inakuwa unyanyasaji tena?