Kwa siasa za kususa za CHADEMA, wanairudisha Tanzania waliyoyapitia wenzetu mwaka 1842.
Kwa siasa za kususa za CHADEMA, wanairudisha Tanzania waliyoyapitia wenzetu mwaka 1842.
Masikini Ribosome, unadandia bila kujua unaongelea nini, si heri ungemtafuta mtu akakutafsiria maana ya History of Corporate Whining na inawahusu akina nani! Wanaolialia hapa ni status quo, sio wanaotaka mabadiliko. CCM ndiyo inataka kuturudisha mwaka 1842 ambapo mfumo kandamizi ilipokuwa ikihangaika kupinga haki ya msingi ya raia kugoma na kuandamana wakipigania maisha bora. Amka, sasa tuko karne ya 21, huo usingizi mnaouchapa hauwapi muda wa kufikiria na badala yake kila siku mnazidi kuwa kama mazuzu na kubaki mkishangilia upuuzi wa CCM.
Dalili za mwanzo wa mwisho.
zisi izi e saini thati inglishi izi e difikati langweji fo mosti ofu asi.
ifu yu donti noo ze messeji bihaindi ze katuni whai yu positi iti ee??
Aza pipo bwana?
Naona imekugusa sana hii kitu. Fani za kina Mashumbusi? au? "kilimo kwanza" umesahau?
Kushabikia ccm ni sawa na kunywa maji aliyooshewa maiti
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa CHADEMA inaendeshwa ki corporate, Kwi kwi kwi, teh teh teh.
Ya mkwe kurithishwa madaraka, ya Slaa kumweka mchumba kutengeneza "software" za kudhibiti? mahesabu na kuchaguwa ni yupi afaae na yupi asiyefaa. Niambie kama hizo sio corporate decisions? Fikiri!
Dalili za mwanzo wa mwisho.
zisi izi e saini thati inglishi izi e difikati langweji fo mosti ofu asi.
ifu yu donti noo ze messeji bihaindi ze katuni whai yu positi iti ee??
Aza pipo bwana?
Bado hujaweza kutetea hoja yako, yaani mtu mzima hukuelewa maana unaelezwa maana bado unajifanya mjuaji.. hapo nilipo sina mbavu kwa ukihiyo unaoonyesha hadharani...Unachoshindwa kuelewa ni kuwa CHADEMA inaendeshwa ki corporate, Kwi kwi kwi, teh teh teh.
Ya mkwe kurithishwa madaraka, ya Slaa kumweka mchumba kutengeneza "software" za kudhibiti? mahesabu na kuchaguwa ni yupi afaae na yupi asiyefaa. Niambie kama hizo sio corporate decisions? Fikiri!