Bado hujaweza kutetea hoja yako, yaani mtu mzima hukuelewa maana unaelezwa maana bado unajifanya mjuaji.. hapo nilipo sina mbavu kwa ukihiyo unaoonyesha hadharani...
we pimbi, kama unazungumzia maisha binafsi ya viongozi wa cdm basi yana nafuu kuliko ya hao ccm, kuanzia mkulu wenu hadi mwenyekiti wa kijiji kwa chama chenu ni wabovu kwisha kazi, kuanzia ufuska, uhuni, wizi, utapeli, uongo, kutamani wake za watu, kuchukuliana mabwana na wake za watu, kwenda kwa masangoma, na kuua wenzao pia