MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 25, 2012 Thread starter #61 Tuacheni Maskhara hali ni mbaya sana
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jul 25, 2012 #66 wiki 2 zilizopita nilikwenda kisarawe kijiji ccha sofu hali ndio mbaya zaid huko
Prince Nadheem JF-Expert Member Feb 25, 2012 1,253 1,028 Jul 26, 2012 #67 Pombekali said: Mkuu hiyo shule yangu hiyo! Click to expand... shule gani mapinduzi primary nini???
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jul 26, 2012 Thread starter #68 Bajabiri said: wiki 2 zilizopita nilikwenda kisarawe kijiji ccha sofu hali ndio mbaya zaid huko Click to expand... Mkuu, piga picha ulete hapa, hii ndio njia pekee ya kufungua macho Watanzania. Please do that for us. Thanks
Bajabiri said: wiki 2 zilizopita nilikwenda kisarawe kijiji ccha sofu hali ndio mbaya zaid huko Click to expand... Mkuu, piga picha ulete hapa, hii ndio njia pekee ya kufungua macho Watanzania. Please do that for us. Thanks
A altaaf Senior Member Sep 15, 2009 189 67 Jul 26, 2012 #69 Duh jamani hapa siku zamvua na radi inakuaje ?
B Bumela Senior Member Sep 23, 2009 159 23 Jul 26, 2012 #70 Mbuzi Mzee said: Hapa Mbeya Click to expand... Jamani shule hii inaitwaje? maana nimeifananisha na shule niliyosoma huko mbeya vijijini
Mbuzi Mzee said: Hapa Mbeya Click to expand... Jamani shule hii inaitwaje? maana nimeifananisha na shule niliyosoma huko mbeya vijijini
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Jul 27, 2012 #72 Bajabiri said: wiki 2 zilizopita nilikwenda kisarawe kijiji ccha sofu hali ndio mbaya zaid huko Click to expand... kisarawe pwani ni wale wale wanaodai cdm wasifike huko kweli umasikini wa kutojitambua mbaya sana
Bajabiri said: wiki 2 zilizopita nilikwenda kisarawe kijiji ccha sofu hali ndio mbaya zaid huko Click to expand... kisarawe pwani ni wale wale wanaodai cdm wasifike huko kweli umasikini wa kutojitambua mbaya sana
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Jul 27, 2012 #73 Maisha bora kwa kila MTanzania ndo hayoo, tumejaribu tumeshindwa na hatutaki kujipanga upya!
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Jul 27, 2012 #74 Mbuzi Mzee said: Click to expand... sasa hii kifua wazi Mungu wangu hata daftari watakuwa nalo kweli?
Mbuzi Mzee said: Click to expand... sasa hii kifua wazi Mungu wangu hata daftari watakuwa nalo kweli?