Wanaokwenda hapa shule hii ni watoto wa Matajiri watoto wa masikini hawawezi kusoma hii shule mkuu NdibalemaHawa hapa ni wanafunzi wa St. Flolence academy ambayo ipo katika ardhi hii hii ya Tanzania.
Hapa Mbeya
Bado unasoma au ndipo ulipomaliza shule? PombekaliMkuu hiyo shule yangu hiyo!
Wanasoma chini ya Mbuyu eeeh? ndio maana baadhi ya wanafunzi wanapata maradhi ya kuweweseka miti mikubwa kama hii huwa haikosi Mashetani Pepo wabaya kasheshe kweli Mbuzi Mzee