Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,995
- 775
Kama bajeti ya elimu ikipita safari hii lazima tuandamane, liwalo na liwe!
hawa wanasoma somo la art and crafthawa ni vinyago au ndipo shule hapo wanasoma_ Mbuzi Mzee? mwalimu wangu yupo wapi? gfsonwin?
Hapa nyoka akidondoka kipindi kimeisha,mvua ikinyesha tu likizo.