Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,607
Usipende kuzungumza tabia za mpumbavu mmoja ukafanya kwamba ni tabia iliyozoeleka na jamii yote husika,hata wewe unaweza kuwa na tabia zako mbovu but mtu makini hawezi kuja kuhukumu hapa kwamba tabia hiyo ndiyo tabia ya familia yenu yote.hao wajinga kote wapo usijifariji hata hapo ulipo wapo.Michezo hiyo atakua amejifunzia Boarding tena Seminary...!!
Ukatoliki wa sasa ni wa Mashaka sana...!