Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unamfahamu vizuri eeeh!!hebu tujuze kidogo!ata hivyo alikuwa akionekana kama hivyo sishangai kwa hilo
Litawagharimu sio kidogo,kuna hizi taasisi zinapigania haki za binadamu soon wakilinasa imekula kwao.Huyu Bruda ni mtu wa kukurupuka sana .Ila kanisa Katoliki linawalea sana hawa kina Bruda ,sioni logit ya kuandika barua yenye maneno makali kiasi hicho kwa mtumishi aliyefanya kazi chini yake miaka 6. Barua inaonyesha wazi kuna chuki na ugomvi uliozuka kati ya huyo mwl. Na Bruda,hata kama tuhuma hizo ni za kweli.
Nakumbuka miaka ya 2001/02 kulikuwa na kesi ya mwanafunzi kufukuzwa shule kutokana na kuwa na wastani wa chini kulingana na viwango vyao.Alimropokea mzazi wa yule mwanafunzi ila mwisho wa siku mambo yalipokwenda mahakamani ikabidi aombe yaondolewe mahakamani na mwanafunzi arudishwe shule pamoja na fidia.
Mnafukua makaburi... Ona sasa nimekutana na Comment ya Mtoi... R.I.PBruda Lyimo anaposema ana ushahidi nashindwa kuelewa kuwa utakuwa ushahidi wa namna gani?!
1. Atakuwa na vijana walioshiriki nae tendo la ushoga?!
2. Ana vielelezo zinavyo onyesha kuwa mwalimu wake anafanya ushoga na wanafunzi shuleni au majumbani?
Hili sakata linaweza kuwa gharimu sana manajement ya Majengo.
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums
Nimekuwa nikisikia story vijiweni kuwa ndugu zetu wa kilimanjaro hii tabia ya ushoga inakuwa kwa kasi sana hasa kwa ndugu zetu Wachaga sijui kuna ukweli? Nikiwa nabarizi kurasa za facebook mara ,He! Huyu hapa Andrew Kato wa Majengo Moshi Andrew Kato
Hatari sana. ila Kama wamemdhalilisha itabidi wamlipe fidia watakuwa wamemdhalilisha vya kutosha
kwa kweli mwanaume uliyetimia uwezi kumwita mwanaume mwenzako wangu ni aibu kubwa sana na ushenz mkubwa sanahuyu jamaa koment zake baada ya kumfwatilia facebook znanipa mashaka kidogo
Aseee kwa haya mapoz wala huuliziHii ndio moja ya picha niliyo kutana nayo kwenye page ya huyo ticha