sijakataa. ila nimesema Kama kasingiziwaMwangalie fb Andrew Kato utajua kama anasingiziwa au la
duuuh kwelj mkuuYa mwaka 2012 hii thread! Naona wakuu mnafukua makaburi
Ya mwaka 2012 hii thread! Naona wakuu mnafukua makaburi
Hata sijui iliishiaga wapi mkuuVipi kesi yake iliishia wapi ya kulipwa fidia?
Hajawahi kusoma seminariMichezo hiyo atakua amejifunzia Boarding tena Seminary...!!
Ukatoliki wa sasa ni wa Mashaka sana...!
Utasikiaaa,,,kantangazeeeeeee,, fanya yakooooooooAsante nimejionea mwenyewe Facebook yake huna hata haja ya kuuliza kama punga ,yaani mapozi yake hadi jinsi anavyojibu comments...hehehe utajijuuu mara unalooo bestie .
Wanaobisha na waendelee kubisha
Mkuu umemuona ndugu yako huyo... Mi mapema tu nilimshitukia aseeHuyu jamaa ni jamaa angu,tulikuwa tunamhisi hvyo lkn hatuwahi kuwa na ushahidi.Ana tabia za kike ni kweli ila kugongwa sijawahi sikia.Dunia ina mambo.
Tulimstukia wote mkuu,halafu zile za kuzurura usiku mara nmela Mwenge,mara Sinza mara Survey mara nina chumba kibamba lkn kwetu kimara bucha ilikuwa na ukakasi.Kesi ya Moshi alisemaga lkn sababu hakusema,alidai watamlipa pesa ndefu.Mkuu umemuona ndugu yako huyo... Mi mapema tu nilimshitukia asee
Dah huyu jamaa ni hatari.Tulimstukia wote mkuu,halafu zile za kuzurura usiku mara nmela Mwenge,mara Sinza mara Survey mara nina chumba kibamba lkn kwetu kimara bucha ilikuwa na ukakasi.Kesi ya Moshi alisemaga lkn sababu hakusema,alidai watamlipa pesa ndefu.
Dah huyu jamaa ni hatari.Tulimstukia wote mkuu,halafu zile za kuzurura usiku mara nmela Mwenge,mara Sinza mara Survey mara nina chumba kibamba lkn kwetu kimara bucha ilikuwa na ukakasi.Kesi ya Moshi alisemaga lkn sababu hakusema,alidai watamlipa pesa ndefu.
Hatari sana,wanadai mke wake alimfumania na madent akamkimbia lkn yy alisema alikuwa anapenda mambi makubwa ndo wakashindwana.Dah huyu jamaa ni hatari.
Dah!!!Mohamedi Mtoi,Mungu akulaze pema bro.Bruda Lyimo anaposema ana ushahidi nashindwa kuelewa kuwa utakuwa ushahidi wa namna gani?!
1. Atakuwa na vijana walioshiriki nae tendo la ushoga?!
2. Ana vielelezo zinavyo onyesha kuwa mwalimu wake anafanya ushoga na wanafunzi shuleni au majumbani?
Hili sakata linaweza kuwa gharimu sana manajement ya Majengo.
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums