njugilo
Member
- Feb 8, 2010
- 58
- 26
Members ,mie mwenzenu sielewi labda kwa kupitia hapa naweza nikapata kuelewa.Mkoa wa Shinyanga nadhani ni mkoa wenye madini kwa kipindi kirefu sana lakini mbona hapaeleweki ? Maisha ya wenyeji ni duni ,je nanyi pia mmeliona hili,kitu cha ajabu ni kwamba hata kituo cha mabasi yaingiayo na yatokayo mikoani ni vumbi kwa nyakati zote yaani mchana na usiku,hata ukiingia kituoni taa za hapokituoni nyakati za usiku ni hafifu ,je madini yanamsaidia nani hapa Shinyanga ? Je serikali ya mkoa ipo kimaslahi binafsi au ndio utaratibu waliojiwekea kuishi kimasikini ndani ya madini.Nifumbueni nipate elewa.