Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakati ule anawatukana Wabubge wenzake eti bado ni vijana Bungeni hawajui mambo ya kibunge, ambapo pia alikataa kutoka nje ya Bunge, CDM walimsamehe. Lakini katika hili, nafikiri CDM wamfukuze tu. Tuone kama hatarudi tena CCM. Ni afadhali kumkosa Shibuda kuliko kuwa naye. Hana msaada kwetu, siyo mzalendo, hana utu, hathamini wananchi wake, anafanyia tumbo lake tu na familia yake.
Terms za karata ni garasha kwenye kiboi anachambuliwa nakuwekwa pembeni