I wanna kill right now!??!!!? Life tight kuna mtumishi analipwa 146,000 Kwa mwezi afu ye posho ya laki mbili kwa siku haitoshi na huku bidhaa na huduma tunapata kwa bei moja. Yaani niko tayari kuwa recruited kwa wapambanaji watakaotaka kuingia msituni sanduku la kura halitatuokoa ikiwa wabunge wenyewe ndo hawa na vyama venyewe ndo hivyo Damn it
I second this.
Mlishasikia akichangia kitu gani cha maana bungeni?
Yule lazima utetezi wa haki za binadamu unaopigiwa kifua na Cameroon, Clinton na Obama utakuwa unamhusu sana yule.
In financial terms, this guy is a liability to CDM.
mouddymtoi, basi si unge rekebisha kidogo post iwe pana. Haisomeki kwa raha.
mi napenda mtu mwny siasa za kweli kama shibuda anasema analoamini si hawa wanaongata na kupuliza.japo siungi mkono wabunge kuongezewa posha
I wanna kill right now!??!!!? Life tight kuna mtumishi analipwa 146,000 Kwa mwezi afu ye posho ya laki mbili kwa siku haitoshi na huku bidhaa na huduma tunapata kwa bei moja. Yaani niko tayari kuwa recruited kwa wapambanaji watakaotaka kuingia msituni sanduku la kura halitatuokoa ikiwa wabunge wenyewe ndo hawa na vyama venyewe ndo hivyo Damn it