Tony Almeda
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 397
- 122
Anavutiwa pumzi tu! muache alalame siku zake zikitimia ndio atajuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwezo wao uliishia kwa wale madiwani wa Arusha. Wajaribu kwa Shibuda waone moto.
I second this.
Mlishasikia akichangia kitu gani cha maana bungeni?
Yule lazima utetezi wa haki za binadamu unaopigiwa kifua na Cameroon, Clinton na Obama utakuwa unamhusu sana yule.
Katika hali ya kushangaza mbunge wa maswa John Shibuda-chadema amewalaani vikali watu wote wanaopinga nyongeza ya posho ya wabunge na kuwafananisha wote hao wanaopinga na madomokaya na wahuni.
Shibuda ameendelea kusema kwamba nyongeza hiyo ni kidogo sana na watanzania waendelee kuiomba serikali iwajali wabunge wake.Shibuda amesema wanaopinga ni wanafiki wakubwa,wasaliti na waropokaji.
Source: Shibuda aliongea na waandishi jana na kunukuliwa na baadhi ya magazeti leo kama Tanzania daima na majira
Dah, lazima niseme kuwa hapa waliokota garasha hatufai kabisa huyu kama ni kweli kayasema haya!
si kila mtu ana access na unachoona, ni vyema ukapanga hoja na kuleta habari kamili kama wanavyofanya wakubwa zako akina superman, BAK, Ruta nk.
Unakurupuka kama umeumwa na siafu na habari nusu.......... cant you even give a little background umeona nini kilichotokea ili wengine nao waelewe unasema nini??
mkuu kuna thread yangu humu inayoelezea alichosema Shibuda