Abuu- Amin
Member
- Aug 5, 2012
- 88
- 21
Kwani shibuda hatakiwi kugombea uenyeketi? Kwani na uenyeketi ni wa watu flan tu from moshi.Mnyantuzu kwa kawaida ni mjanja na tapeli..................... Anataka kuvuta pesa ya CCM huyu........... Mark my words!!
Kama kweli wako na Zito then wanataka kuua chama............J ila sidhani kama watafanikiwa kwa hilo.
Msituretee hayo mambo hapa. Shibuda ana rights za kutosha