Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
aha!
yani nimegonga
gari lingine mbele yangu
nilikuwa nasoma habari
hii wakati naendeshaaaa
yaniiiiiiiiiiiiii
yan habari nyingine
zina tabu sana
shibuda huyo mzanzibar/msukuma
kuwa m/kiti wangu wa cdm
nachoma vyeti vywangu vyoteeeeeee
V
SENGEREMA
hapa kakosa kura moja tu.......YAKO!aha!
yani nimegonga
gari lingine mbele yangu
nilikuwa nasoma habari
hii wakati naendeshaaaa
yaniiiiiiiiiiiiii
yan habari nyingine
zina tabu sana
shibuda huyo mzanzibar/msukuma
kuwa m/kiti wangu wa cdm
nachoma vyeti vywangu vyoteeeeeee
V
SENGEREMA
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
Kuna chama kipya kimeanzishwa majuzi haina mwenyekiti.
Akagombee huko
Kaka hicho cha majuzi ni ADC. Mkakati unaendelea kati yake yeye Shibuda, CCM na Chama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa ambapo Kitaanzishwa Chama kingine cha siasa Kwa lengo la kugawanya kura na umaarufu wa CHADEMA ktk kanda ya ziwa. SHIBUDA atachukua uongozi ktk chama hicho.
Sera kubwa atakazo advocate ni ukabila, udini na ukanda ndani ya CHADEMA. Its just a matter of time, hicho chama kinakuja. Kama ilivyo kwa ADC, Mastermind na mfadhili mkuu wa chama hicho ni CCM na TISS.
Hapa kasulu tunalijua hilo.
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
Kwenye blue hapo kuna shaka,
Karne hii tuliyonayo, huwezi kuandika kitu watu wakaamini bila kuweka ushahidi wa picha, audio, video, document, etc.
Mfano:-
Pinda (aka Mzee wa Liwalo na Liwe) alitamka kuwa '...Serikali itachukua hatua, Liwalo na liwe...'. Katika hili ushahidi wa video toka bungeni upo !!
Sasa wewe, weka ushahidi hapa !!
Pole sana, maana siku hizi humdanganyi mtu, watu wanataka ushahidi !!
Chadema nafasi zote nyeti katika chama ni lazima zisimamiwe na wachaga au wale waliojitoa kulinda maslahi yao.ivi kwani shibuda hanaga haki ya kugombea uwenyekiti chadema.. kwanini kila linapoguswa swala la uongozi chadema akitajwa shibuda povu lina watoka...sababu hasa ni nini. au ni kwa vile hatokei moshi..au ni kwa vile sio mchaga. au ni kwamba hana haki ya kugombea.
ni bora kumwacha agombee kama akipita basi ni kwamba wanachama wamemkubali na kama amekosa sio mbaya atatii mamlaka. na sio tu mtu kutangaza nia mnaanza kupiga kelele.