kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Wakuu, naombeni msaada wa kesi na sheria zinazohusu talaka (divorce) na mgawanyo wa mali za ndoa (division of matrimonial properties) hasa kwenye kesi zinazohusu mgawanyo wa Mali ikiwa mwanandoa mmoja aliondoka na Mali kabla hajapetition 4 divorce na sasa anadai mgawanyo. Na ndoa ni ya kiislamu.
Asanteni sana
Cc Petro Mselewa, Dragoon, soskeneth na wengine wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteni sana
Cc Petro Mselewa, Dragoon, soskeneth na wengine wote
Sent using Jamii Forums mobile app