aqeelah
JF-Expert Member
- Apr 22, 2014
- 354
- 234
Na je mwanaume akibadili dini na kuwa muislamu kisha akafunga ndoa nyingine kwa dini ya kiislamu, je ndoa hiyo itakua batili au halali?Hilo ni kinyume cha sheria. Ndoa ya kanisani ni ya mke mmoja. Inayofuata ni batili