Tutaona kama kweli watamsusia JK maana ni uuupuuzi kufanya hivyo!kama wanna lao waseme wazi maana hakuna ubabe wa kuwaburuza tena
Tutaona kama kweli watamsusia JK maana ni uuupuuzi kufanya hivyo!kama wanna lao waseme wazi maana hakuna ubabe wa kuwaburuza tena
Lowasa amekaa mwenyewe hana jirani vitini
EL naye ndani.Nazihesabu hizo siku makumi kenda zitazaa nini.Na Shein,Bilal na Swedi mbona kama wanateta jambo kwa dhihaka vile?Ccm ccm ccm ccm ccm ccm hakuna jipya
Yupo tele. Ilibidi aruke viti kama v4 ili asalimiane na Dr Shein. Cjui angeanguka angesemajenaye Lowasa yupo?