Sherehe za miaka 47 ya Muungano

TANGANYIKA TANGANYIKA TANGANYIKA ndio wanaotuburuza.

Iko siku iko siku iko siku

Tanganyika inawaburuza inawabeba?maana nimesikia mtangazaji TBC anasema,mnaomba iwasaidie kiuchumi nyie bado wadogo,hapo inakuwaje?
 
Tanganyika inawaburuza inawabeba?maana nimesikia mtangazaji TBC anasema,mnaomba iwasaidie kiuchumi nyie bado wadogo,hapo inakuwaje?
amesema kiuchumi Tanganyika wako juu hivyo wanapaswa wawasaidi upande wa pili ili walingane kiuchu anasema vijana wa Tanganyika wako vizuri kiuchumi wakati vija wa zenji wako hoi...........
 
Vipi, John Momose Cheyo, Ryatonga Mrema, Mbowe, Prof Lipumba na wenyeviti wengine wa vyama vya siasa wapo? Au wamemuacha wa ccm pekee!
 
Kikwete anazungumza na Mwamnyange anamwambia aisee ile mambo ya October ingebuma tusinge kua hapa jamaangu na mwamnyange akajibu hahahahahhaaaaaaa mi nilikua imara wewe!!!
 
Smzsmall.png
 
Eti TV ya taifa haina inacho kiweza zaidi ya kucopi na kupesti....yamesha kata sijui Kikwete kadondoka kama kawaida yake
 
Imekuwaje mbona Station zote za TV zimekata ghafla matangazo live ya sherehe za muungano toka Zanzibar? Kunani kimetokea?
 
Ni kwamba wamekata matangazo wote kwa ma agizo maalum kwa sababu leo mgeni rasmi hatohutubia.kulikoni hii....wana jf mwenye lolote na atujze kuhusu ukimya huu!
 
watu ni wengi lakini kuna mapengo....

Mkuu, umejaa kweli au ndiyo ule utaalamu wa Tanzania Boaring Channel 1 wa kuchagua sehemu yenye watu wengi na kuipiga picha kama shughuli ni ya CCM AU SERIKALI? Lakini CDM et al wanatafuta yenye watu wachache.

Hivi uwanja wa Amani unachukua watu wangapi vile?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom