Ukiwaona bungeni wakitetea maslahi ya wanachi utaamini ni watu. Angalia wakisahau tu utawaua ukweli wao
leo Mh tundu Lissu alitaka kujienyesha anawapenda watz kwa kutaka kuleta Hoja ya Meli ya ZANZIBAR.kumbe akitaka Kumtia ubayani mama yetu.
Ikiwa Tanzania inamaombelezi kupata msiba. Dk slaa anafurahika na Kunywa. kula na vigelegele juuu.
huku wabunge wake wakijifanya wanalia Kilio cha Kudangaya, Kumbe Jioni wanakimbilia DANSI kukata kucheza, kuimba na Kupiga bia.
watz tushukuru na tuamke kwamba Mungu ametuonyesha Mapema jinsi wanasiasa hasa Chadema wasivyojali watu
KESHO MAGAZETI MENGI YATATOA TAHAHARIRI NA PICHA ZA DK SLAA AKIPIGA MZIKI HUKU TAIFA LIKIWA KWENYE MAOMBOLEZI
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimsikiliza mmoja wa walionusurika katika ajali ya meli jana Bw Kitwana Makama Haji ambaye kalazwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja leo July 19, 2012
Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
MY TAKE.
HAPA KAMA DK SLAA ANGALIKUWA NDIO RAIS TUSHALIWA KICHWA WAZT. KIKWETE JUU YA UDHAIFU WAKE TUNAOLAZIMISHWA TUMAINI NA CHADEMA. LKN WA DK SLAA KUBURUDIKA LEO NI WAZI SIO UDHAIFU WA KIUTENDAJI BALI NI UDHAIFU WA ROHO
ukiwaona bungeni wakitetea maslahi ya wanachi utaamini ni watu. Angalia wakisahau tu utawaua ukweli wao
leo mh tundu lissu alitaka kujienyesha anawapenda watz kwa kutaka kuleta hoja ya meli ya zanzibar.kumbe akitaka kumtia ubayani mama yetu.
Ikiwa tanzania inamaombelezi kupata msiba. Dk slaa anafurahika na kunywa. Kula na vigelegele juuu.
Huku wabunge wake wakijifanya wanalia kilio cha kudangaya, kumbe jioni wanakimbilia dansi kukata kucheza, kuimba na kupiga bia.
Watz tushukuru na tuamke kwamba mungu ametuonyesha mapema jinsi wanasiasa hasa chadema wasivyojali watu
kesho magazeti mengi yatatoa tahahariri na picha za dk slaa akipiga mziki huku taifa likiwa kwenye maombolezi
rais jakaya kikwete na mama salma kikwete wakimsikiliza mmoja wa walionusurika katika ajali ya meli jana bw kitwana makama haji ambaye kalazwa katika hospitali kuu ya mnazi mmoja leo july 19, 2012
baadhi ya maiti zilizookolewa kutoka katika meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na serikali katika eneo la kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
My take.
Hapa kama dk slaa angalikuwa ndio rais tushaliwa kichwa wazt. Kikwete juu ya udhaifu wake tunaolazimishwa tumaini na chadema. Lkn wa dk slaa kuburudika leo ni wazi sio udhaifu wa kiutendaji bali ni udhaifu wa roho
Sijui hata ni reply kitu gani...napata kigugumizi cha mikono nahisi naepushwa na ban.
Ukiwaona bungeni wakitetea maslahi ya wanachi utaamini ni watu. Angalia wakisahau tu utawaua ukweli wao
leo Mh tundu Lissu alitaka kujienyesha anawapenda watz kwa kutaka kuleta Hoja ya Meli ya ZANZIBAR.kumbe akitaka Kumtia ubayani mama yetu.
Ikiwa Tanzania inamaombelezi kupata msiba. Dk slaa anafurahika na Kunywa. kula na vigelegele juuu.
huku wabunge wake wakijifanya wanalia Kilio cha Kudangaya, Kumbe Jioni wanakimbilia DANSI kukata kucheza, kuimba na Kupiga bia.
watz tushukuru na tuamke kwamba Mungu ametuonyesha Mapema jinsi wanasiasa hasa Chadema wasivyojali watu
KESHO MAGAZETI MENGI YATATOA TAHAHARIRI NA PICHA ZA DK SLAA AKIPIGA MZIKI HUKU TAIFA LIKIWA KWENYE MAOMBOLEZI
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimsikiliza mmoja wa walionusurika katika ajali ya meli jana Bw Kitwana Makama Haji ambaye kalazwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja leo July 19, 2012
Baadhi ya Maiti zilizookolewa kutoka katika Meli iliozama na kukosa watu wake zikipelekwa kuzikwa na Serikali katika Eneo la Kama lililotayarishwa makusudi kwa ajili hio.
MY TAKE.
HAPA KAMA DK SLAA ANGALIKUWA NDIO RAIS TUSHALIWA KICHWA WAZT. KIKWETE JUU YA UDHAIFU WAKE TUNAOLAZIMISHWA TUMAINI NA CHADEMA. LKN WA DK SLAA KUBURUDIKA LEO NI WAZI SIO UDHAIFU WA KIUTENDAJI BALI NI UDHAIFU WA ROHO
hapa tayari kama mtihani MMEPATA 0. huu mtaji mkubwa wa CCM wiki hii yote
Haiwezekani watu tunaomboleza jamaa anaoaaaa Daaaaaaamnnnnnnnn!!huu ni ubinafsi wa hali ya juu